Yes! Uza mabarafu utakuja kunishukuruSidhani
kAma upo seriously na unachoandika
Wazo la hii biashara ni elfu 50 ukitaka mchanganuo! Kuuza mayai siyo lazima utage au uwe unafuga kuku wa mayaiFanya mchanganuo hiyo biashara ndo naisikia kwako na friza sina wala nn
Acha dharau... Tumia simu yako vizuri utapata pesa.Hata kama sina akili ila nyie nimewazidi
Nunua mkaa uza rejareja kama upo town au fanya biashara ya matundaNi mwanafunzi wa chuo first year fulani hivi Dar, ninapesa laki 6 ambayo ninafikiria sana nifanye biashara ila wazo haliji yani.
Najua kuna ambao walianza chini labda wanaweza nishirikisha nini nifanye, kwakweli sipendi kabisa umasikini.
Karibuni.
Safi sana MwambaNjoo nayo kitambaa cheupe bar, nitakuelekeza namna ya kutumia,Kuna pisi zitakupa ushauriau ngoja nimalize hapahapa
Laki sita ni nyingi mbona,
Kama unaweza kutembea achana na masomo
1.Chukua toroli, jaza matunda kama ndizi, nanasi, maembe, matango, n k, kabla hujafanya hivyo tafuta mtu ambaye anafanya kazi hiyo, akupe utaratibu, utanunua shilling ngapi unauza shiling ngapi.
2.Nenda karume au ulizia machimbo ya viatu kariakoo, chukua pairs kadhaa ingia nazo mtaani, kumbuka kuwa makini.
3.Nunua begi kubwa, jaza makava ya simu na protectors ,chaja za simu ingia nazo mtaani, huku nyingine ukishikilia mkononi.
4.Ingia machimbo, ya spana na baadhi ya vifaa vidogo vidogo, kama stickers, Stering covers, mchawi foleni au kwenye yards za magari makubwa.
5.Urembo,Boxers za kiume, saa za mkononi , cheni,bangili , n. K Cha muhimu kufanya utafiti kidogo kabla hujanunua.
Zipo biashara nyingi sana kwa mtaji wako kama kianzio, ila kikubwa biashara haikosi changamoto.
Zingatia kuwa na lugha nzuri kwa wateja, maana mwingine anajua kiatu hiki akienda chimbo ni 10,000 tu iweje umuuzie 15000?
Zingatia usafi wa mwili na mavazi, kuwa smart na unukie .
Omba MUNGU kwa kila hatua.
Kila la kheri.
Sina ninaemfahamu hukoKwann usfanye biashara ya uwakala ndan au nje ya chuo na kuuza vocha, mtaj auzd ata lak 2.5.
Kuna wngn enz izo chuon walkuwa wanauza laptop na cm , walkuwa hawana maduka but walkuwa wanaenda k/koo kunajamaa walkuwa wanawafaham uko hvyo kaz ilkuwa kupga pcha zle cm na laptop kwny maduka zen wao wanapata commission kwny kla mauzo
Ahsante sanaNjoo nayo kitambaa cheupe bar, nitakuelekeza namna ya kutumia,Kuna pisi zitakupa ushauriau ngoja nimalize hapahapa
Laki sita ni nyingi mbona,
Kama unaweza kutembea achana na masomo
1.Chukua toroli, jaza matunda kama ndizi, nanasi, maembe, matango, n k, kabla hujafanya hivyo tafuta mtu ambaye anafanya kazi hiyo, akupe utaratibu, utanunua shilling ngapi unauza shiling ngapi.
2.Nenda karume au ulizia machimbo ya viatu kariakoo, chukua pairs kadhaa ingia nazo mtaani, kumbuka kuwa makini.
3.Nunua begi kubwa, jaza makava ya simu na protectors ,chaja za simu ingia nazo mtaani, huku nyingine ukishikilia mkononi.
4.Ingia machimbo, ya spana na baadhi ya vifaa vidogo vidogo, kama stickers, Stering covers, mchawi foleni au kwenye yards za magari makubwa.
5.Urembo,Boxers za kiume, saa za mkononi , cheni,bangili , n. K Cha muhimu kufanya utafiti kidogo kabla hujanunua.
Zipo biashara nyingi sana kwa mtaji wako kama kianzio, ila kikubwa biashara haikosi changamoto.
Zingatia kuwa na lugha nzuri kwa wateja, maana mwingine anajua kiatu hiki akienda chimbo ni 10,000 tu iweje umuuzie 15000?
Zingatia usafi wa mwili na mavazi, kuwa smart na unukie .
Omba MUNGU kwa kila hatua.
Kila la kheri.
Tafta watu umu jamii forum wanaweza kukusaidia kwa iloSina ninaemfahamu huko