Business Hc
New Member
- Aug 7, 2025
- 1
- 3
Nina laki moja mkononi, itaki kuitumia ikapotea nawezaje kuizalisha ndugu zangu najikuta tu sina idea ya fasta kwa sasa?
Tumia njia uliyopatia hiyo Hela, utafanikiwa.Nina laki moja mkononi, itaki kuitumia ikapotea nawezaje kuizalisha ndugu zangu najikuta tu sina idea ya fasta kwa sasa?
Je kama kaokota?Tumia njia uliyopatia hiyo Hela, utafanikiwa.
Hajabainisha hilo.Je kama kaokota?
Kila la kheri
Kama, maelekezo plzUnafanya ishu gani kukuingizia kipato?? Kama hapana basi hiyo laki moja fanya mtaji wa biashara ndogo ndogo zipo nyingi mno