Ingekua dar ningekuambia nenda maduka ya Samsung unapata mupyaa...inategemea ni galaxy gani...galaxy ace ni nzurI nilikuta dukani lk2 na nusu km sijasahau...kuna galaxy tofauti tofauti ...ni weww tu..ss huko uliko mmhh
cjaitumia hyo kk labda ungexema specifications zake kwanza ili kuitathimini,,
Kwa hizo laki 3 unusu ningekushauri uchukue TECNO N7,mpya na imara kabisa specification zake hazijapishana sana
na galaxy s3View attachment 109693
Wajameni nisaidieni mie kaka yenu,,Nina Laki 3.5 nahitaji Gallaxy yenye kuendana na uwezo wang huo ila pia nataka ya high quality,, Ni Gallaxy gani nzuri na wp ntapata hapa Moro,,!!??
ina hali gan hyo,,, nakupataje arif,,,
Kwa hizo laki 3 unusu ningekushauri uchukue TECNO N7,mpya na imara kabisa specification zake hazijapishana sana
na galaxy s3View attachment 109693
internal memory ni ngap kk coz nina tecno n3 inasumbua internal storage coz imekataa kuhamisha baadhi ya progs kwenda sd card
Kwa hizo laki 3 unusu ningekushauri uchukue TECNO N7,mpya na imara kabisa specification zake hazijapishana sana
na galaxy s3View attachment 109693
Wajameni nisaidieni mie kaka yenu,,Nina Laki 3.5 nahitaji Gallaxy yenye kuendana na uwezo wang huo ila pia nataka ya high quality,, Ni Gallaxy gani nzuri na wp ntapata hapa Moro,,!!??