Umechangia mabadiriko katika nchi yetu, Bila wewe Watanzania bara mpaka leo hii tungeendelea kuonyesha Passport ili kuingia Zanzibar. :clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
Huyu jamaa yuko wapi? Hajasikika mda mrefu sana rev mtikila!!!
1. Muasisi wa mgombea Binafsi
2. Muasisi wa Utanganyika
3. Ma********* lazima waende
4. Shujaa shupavu asiyeogopa lolote
BIG UP Rev. Christopher Mtikila.
mkuu wa kambi Nashangaa wanaobeza upinzani1. Muasisi wa mgombea Binafsi
2. Muasisi wa Utanganyika
3. Ma********* lazima waende
4. Shujaa shupavu asiyeogopa lolote
BIG UP Rev. Christopher Mtikila.
huyu mtu hajasikika siku nyingi sijui yuko wapi
Na ijulike ndiye mwasisis wa kauli ya Magabachori!