Nyerere Vs Zanzibar

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,565
32,212
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
 
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
Rais wa awamu hii ni Mzanzibar na kwenye sehemu nyeti amewajaza Wazanzibar wenzie.
 
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
Si mumwambie mzanzibari mwenzenu Samia avunje huu muungano...hakuna mtanganyika now days anayetaka muungano na nyinyi
 
Wazanzibari wanakosa shukrani
Shukrani gani? Mbona sijakuona au kukusikia ukiwashukuru Wajerumani kwa kuitawala Tanganyika? Mbona sijakusikia ukitoa shukrani kwa Uingereza kutokana na kuwa na Tanganyika chini ya uangalizi wake? Ni lini uliishukuru UN kwa kuiweka Tanganika chini ya uangalizi wa Uingereza?

Hivi Tanganyika imeifanyia nini Zanzibar hata Zanzibar na Wazanzibari wawe na shukrani nayo?

Ni ajabu na aibu kwa mtu kutarajia shukrani kwa mtu aliyemdhulumu. Mtu aliyefanyiwa haya anachoweza kufanya, na kama ataweza, ni kusamehe na si vinginevyo. Usitarajie, siku zote, kupanda pilipili hoho ukatarajia kuvuna njugu/karanga.
 
Zanzibar ipo kwenye mpango wa Tanganyika...
Agenda JKN ni kuwaondoa wanzibar wote na nakueneza kizazi cha bara huko zenji kupitia muingiliano wa kuzaliana na kiimani...
Soon Zanzibar itakua ndo makao makuu ya kanisa pendwaaa........
Rip Jkn.....umetuachia hadhina pendwaa Zanzibar na sisi Tutakoma mpaka lengo lako limitie Baba.....
 
Safari hii wazanzibar wakishindwa kujitoa kwenye muungano tutajua moja kwa moja kuwa wao ndio wanaofaika na muungano kwa kuinyonya Tanganyika.Hata kupata kiti cha kudum umoja wa mataifa nacho kiwashinde?.
 
Back
Top Bottom