Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
Umenena MkuuZanzibar bila Nyerere tungekua tumeshawasahau
Wazanzibari wanakosa shukraniUmenena Mkuu
Rais wa awamu hii ni Mzanzibar na kwenye sehemu nyeti amewajaza Wazanzibar wenzie.Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
Kweli kabisa.Wazanzibari wanakosa shukrani
Zanzibar bila Nyerere ingekua kama Singapore.Zanzibar bila Nyerere tungekua tumeshawasahau
Subutu tungekua mbali sanaZanzibar bila Nyerere tungekua tumeshawasahau
Naam SheheSubutu tungekua mbali sana
Wanatunyonya kweli na muungano waoNaam Shehe
Muungano feki. Ajira wanapeana machogo tuWanatunyonya kweli na muungano wao
Si mumwambie mzanzibari mwenzenu Samia avunje huu muungano...hakuna mtanganyika now days anayetaka muungano na nyinyiLeo ni kumbukumbu ya kifo cha Hayati Mwl Dr Baba wa Taifa Nyerere. Hapa Unguja si maarufu Sana Kama huko bara alitupora nchi yetu Zanzibar kwa mwamvuli wa Muungano ( usionufaisha Zanzibar), pia alimpoka madaraka Aboud Jumbe bila sababu ya msingi
Na mshukuru, ilifaa awafukuze kabisa iwe ni kisiwa chetu TanganyikaMuungano feki. Ajira wanapeana machogo tu
Leo hii tungekuwa tumeizingira kama Gaza; na kuiponda makombora kila inaposumbua; kuzuia flow ya bidhaa za vyakula, viwandani, nakadhalika.Zanzibar bila Nyerere tungekua tumeshawasahau
Shukrani gani? Mbona sijakuona au kukusikia ukiwashukuru Wajerumani kwa kuitawala Tanganyika? Mbona sijakusikia ukitoa shukrani kwa Uingereza kutokana na kuwa na Tanganyika chini ya uangalizi wake? Ni lini uliishukuru UN kwa kuiweka Tanganika chini ya uangalizi wa Uingereza?Wazanzibari wanakosa shukrani