Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 301
- 290
Hakim: kijana unahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kuuza gongo na konyagi.
Mtuhumiwa: Lakin vile ni vifaa tu mlivyovikuta navyo hamjanikuta na gongo.
Hakim: Wewee nyamaza!!!
Ukikutwa na Vifaa vya kutengeneza gongo lazima utakuwa mtengeneza gongo mzur sana we.
Mtuhumiwa: bas mnihukum pia kwa kosa la kubaka
Hakim:Haaaa!!!kumbe ulibaka pia????
Mtuhumiwa: Hapana skubaka ila Nina kifaa cha kubakia.
Hakim: kioneshe, kiko wapi??
Mtuhumiwa: (akafungua zipu ya suruali na kuonesha mashine yake) “Hiki hapa"
Hakim: Kuanzia sasa uko huru
Mtuhumiwa: Lakin vile ni vifaa tu mlivyovikuta navyo hamjanikuta na gongo.
Hakim: Wewee nyamaza!!!
Ukikutwa na Vifaa vya kutengeneza gongo lazima utakuwa mtengeneza gongo mzur sana we.
Mtuhumiwa: bas mnihukum pia kwa kosa la kubaka
Hakim:Haaaa!!!kumbe ulibaka pia????
Mtuhumiwa: Hapana skubaka ila Nina kifaa cha kubakia.
Hakim: kioneshe, kiko wapi??
Mtuhumiwa: (akafungua zipu ya suruali na kuonesha mashine yake) “Hiki hapa"
Hakim: Kuanzia sasa uko huru