utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
HAPA KAZI IPO:
Jaji: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe pia kwa kosa la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana, cjabaka ila hapa ninacho kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa. Jamaa kafungua zip na kumuonyesha hakim uume wake.
JAJI: UKO HURU.
koh koh koh!!"
Jaji: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe pia kwa kosa la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana, cjabaka ila hapa ninacho kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa. Jamaa kafungua zip na kumuonyesha hakim uume wake.
JAJI: UKO HURU.
koh koh koh!!"