Nina kamtoko, lakini...!

Nina kamtoko, lakini...!

Kumbe huwa unasusaga? Haipendezi hiyo mwanaume mzima. Halafu mtoko gani wa Monday!

Sijasusa nimeonyesha msimamo wangu.............Ili iwe mwanzo ikiwezekana na mwisho.
Halafu mtoko wa monday mzuri...........tuliiivu
 
heheheheh pole mwaya....kama ulikuwa umekasirika heri umwhairisha mnaweza kuboana bure....

Ila ungemuuliza saluni alikuwa anaenda kufanya nini, kama kuset sawa....kama kusuka mngepanga siku nyingine...

Ila nae atakuwa kajifunza
 
Nilishajifunza wangu nikimwambia tuna "mtoko" huwa naweka masaa mawili ya ziada ya tahadhari.We acha tu akitoka bafuni sijui ndiyo aanze mbwembwe kwenye dressing table utachoka.Jifunze kuvumila mkuu.
 
kaliaje, nampatia picha.

Tena ndio kama yuko kijana kijana lol
umemtesa sana leo

ila limekuwa fundisho la milele
 
heheheheh pole mwaya....kama ulikuwa umekasirika heri umwhairisha mnaweza kuboana bure....

Ila ungemuuliza saluni alikuwa anaenda kufanya nini, kama kuset sawa....kama kusuka mngepanga siku nyingine...

Ila nae atakuwa kajifunza

Sasa hivi vi-message haviishi, nimegundua hawa watu wanahitaji msuri wa msimamo
 
Nilishajifunza wangu nikimwambia tuna "mtoko" huwa naweka masaa mawili ya ziada ya tahadhari.We acha tu akitoka bafuni sijui ndiyo aanze mbwembwe kwenye dressing table utachoka.Jifunze kuvumila mkuu.

Uvumilivu mwingine una mwisho......Ngoja ajifunze kwanza.......Biashar ya kutiana vidonda vya tumbo siiwezi
 
ni aina ya nywele zinazosukwa kwa masaa 12 au siku 2 ukizubaa.

Zile za kimasai

labda alianza jana, akajua leo saa 6 atakuwa kamalizwa, kumbe where.

tehe tehe tehe.............aliniambia anasuka rasta za wevu na leo ndio anamalizia....................Lakini mzoefu wa hiyo mambo kwa nini hakukadiria vizuri!!!!!!!!
 
hivi unajua mambo ya saluni za akina mama?
Hasa kama unasukwa??

Akija mteja wa kuset, unayesukwa unawekwa kando, anaseiwa kwanza, hapo muda unaenda tu.

Mie haya yalinipata mno enzi hizo, alikuwa naongea hadi mdomo unataka kuchomoka.

Matokeo yake, nikiona na mtoko naye, kama sijasuka sisuki ng'o, ntapiga hata twende kilioni.

Nilitiwa ndimu nikawa na adabu hadi kesho, hadi naingia kaburini.

tehe tehe tehe.............aliniambia anasuka rasta za wevu na leo ndio anamalizia....................Lakini mzoefu wa hiyo mambo kwa nini hakukadiria vizuri!!!!!!!!
 
hivi unajua mambo ya saluni za akina mama?
Hasa kama unasukwa??

Akija mteja wa kuset, unayesukwa unawekwa kando, anaseiwa kwanza, hapo muda unaenda tu.

Mie haya yalinipata mno enzi hizo, alikuwa naongea hadi mdomo unataka kuchomoka.

Matokeo yake, nikiona na mtoko naye, kama sijasuka sisuki ng'o, ntapiga hata twende kilioni.

Nilitiwa ndimu nikawa na adabu hadi kesho, hadi naingia kaburini.

Unaona sasa.............nakumbuka muda wa saa 4 nilimwambia tia kitambaa uje akabisha........unaona matokeo yake!!

Halafu kutiwa ndimu ndiyo nini? miye mzaliwa wa mrima Kiswahili cha Pwani kimenipita kando!!
 
Hujakosea kabisa siyo vizuri kulea ugonjwa, action speaks louder than words. Mie ndo zangu hizo na nimeishaona matunda yake, yaani wife amechelewa sana ni 30 minutes tena hapo ni mtoko usiokuwa na haraka otherwise atanikuta kwenye eneo la tukio nalamba bia. Na nikiishatangulia kwenye venue hata asipokuja ni pouwah tu coz east west home is the best.
 
Hujakosea kabisa siyo vizuri kulea ugonjwa, action speaks louder than words. Mie ndo zangu hizo na nimeishaona matunda yake, yaani wife amechelewa sana ni 30 minutes tena hapo ni mtoko usiokuwa na haraka otherwise atanikuta kwenye eneo la tukio nalamba bia. Na nikiishatangulia kwenye venue hata asipokuja ni pouwah tu coz east west home is the best.

Good..........Mwanaume ni mwanaume, Maaumuzi yaliyokomaa
 
Inaudhi sana masaa 5 na bora angesema mapema kuwa atachelewa. Picha niliyopata ni kama hajali hivi.

Sio hajali jamani, anataka upendeze ili wewe uwe proud na yeye. Sijali mwanamke akitumia muda mrefu kujipendeza kwa ajili yangu as long as ratiba haimhusu mtu mwingine yeyote i.e hakuna mtu mwingine atakayedhurika kwa kuchelewa kwake... Najisikia proud watu wakikata shingo za wizi kumwangalia mwenzangu lol Ila sasa kama hujala..... wahi hapo kwenye mgahawa wa karibu ukachukue take-away mpelekee na yeye hapo salon
 
Back
Top Bottom