Kitaaluma ni mwalimu wa masomo ya chemistry na biology. Nina uzoefu wa kufundisha O level na A level kwa zaidi ya miaka tisa sasa.
Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya shughuli nyingi za steshenari kwa ubunifu mkubwa.
Elimu yangu ni degree ya kwanza ya elimu na sayansi. Nipo Dar es salaam.
Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya shughuli nyingi za steshenari kwa ubunifu mkubwa.
Elimu yangu ni degree ya kwanza ya elimu na sayansi. Nipo Dar es salaam.