Ninahitaji kazi ya ualimu kufundisha Chemistry na Biology

Vintage1q

Member
Jan 7, 2021
46
263
Kitaaluma ni mwalimu wa masomo ya chemistry na biology. Nina uzoefu wa kufundisha O level na A level kwa zaidi ya miaka tisa sasa.

Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya shughuli nyingi za steshenari kwa ubunifu mkubwa.

Elimu yangu ni degree ya kwanza ya elimu na sayansi. Nipo Dar es salaam.
 
Kitaaluma ni mwalimu wa masomo ya chemistry na biology. Nina uzoefu wa kufundisha O level na A level kwa zaidi ya miaka tisa sasa.

Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya shughuli nyingi za steshenari kwa ubunifu mkubwa.

Elimu yangu ni degree ya kwanza ya elimu na sayansi. Nipo Dar es salaam.
Ndio tatizo la ajira za private. Ukikolea unajisahau,ukifukuzwa unakumbuka Shuka kumekucha.
 
Wacheki hawa

Screenshot_20240523_131440_WhatsApp.jpg
 
Kitaaluma ni mwalimu wa masomo ya chemistry na biology. Nina uzoefu wa kufundisha O level na A level kwa zaidi ya miaka tisa sasa.

Ninao uzoefu wa kuongoza pia katika nafasi za ukuu wa shule, taaluma na nafasi nyinginezo za uongozi katika taasisi zizsizo za kielimu. Nina uwezo pia wa kufanya shughuli nyingi za steshenari kwa ubunifu mkubwa.

Elimu yangu ni degree ya kwanza ya elimu na sayansi. Nipo Dar es salaam.
Utumishi imetangaza nafasi nane za mwalimu wa kemia omba
 
Back
Top Bottom