Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 515
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo:
1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.
Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.
1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.
Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.