Natafuta mchumba/mke mtarajiwa

Sam pizzo

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
846
515
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo:

1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.

Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.
 
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo:

1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.

Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.
Hapo kwenye Bikra hujasema ni bikra ya wapi..?
 
Mpaka Kenya nzima kukosa mke.una matatizo au wewe lofa wa kutupwa unadhani wanawake watababaika kwa kuwa wewe Mkenya mkaa Nairobi

Nairobi kuna maeneo ya malofa wakubwa duniani wanaishi Mathare

Mathare ni moja ya Slums kubwa zinazotambulika duniani wanakoishi maskini wa Nairobi

Na wewe waweza kuwa unaishi Mathare Nairobi ndio maana wamama wote wazuri wa Kenya wamekataa kuolewa na wewe .Lofa mkubwa wewe
 
Mpaka Kenya nzima kukosa mke.una matatizo au wewe lofa wa kutupwa unadhani wanawake watababaika kwa kuwa wewe Mkenya mkaa Nairobi

Nairobi kuna maeneo ya malofa wakubwa duniani wanaishi Mathare

Mathare ni moja ya Slums kubwa zinazotambulika duniani wanakoishi maskini wa Nairobi

Na wewe waweza kuwa unaishi Mathare Nairobi ndio maana wamama wote wazuri wa Kenya wamekataa kuolewa na wewe .Lofa mkubwa wewe
Dah umempa za uso
 
Mpaka Kenya nzima kukosa mke.una matatizo au wewe lofa wa kutupwa unadhani wanawake watababaika kwa kuwa wewe Mkenya mkaa Nairobi

Nairobi kuna maeneo ya malofa wakubwa duniani wanaishi Mathare

Mathare ni moja ya Slums kubwa zinazotambulika duniani wanakoishi maskini wa Nairobi

Na wewe waweza kuwa unaishi Mathare Nairobi ndio maana wamama wote wazuri wa Kenya wamekataa kuolewa na wewe .Lofa mkubwa wewe
Mkuu sikushangai sababu binadamu tunakuwa na mitazamo tofauti sana, Si kila anayeishi Nairobi ni mkenya. Inshort mm si mkenya bali ni mtanzania (mchaga halisi) ndio maana nimependelea kuoa nyumbani.
 
Humu tatizo lilopo watu hawapo serious duh kama wanapatikana mbona sisi hatuwapati jf au tuna mkosi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom