Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,176
una bikra?
Ndio maana kuna rangi tofauti ili kila mtu achagueUna hamu!! Ina maana ulishawahi kuolewa mana huwezi kuwa na hamu ya kitu ambacho hujawahi kukifanya!..
Sema nataka kuolewa alafu punguza vigezo mana 26 uliyotaja ni ya kwako ya kibongo but tukichimba sio chini ya 29 so sema mwanaume yeyote alafu uangalie baraka ya Mungu.
Usipanic Dada?,miaka 26 bado sana, endelea kutulia kama huna habari ya kutaka kuolewa, watu wanaolewa na miaka arobain na_ huko, wanazaa na miaka 50.
Tulia tulia tulia. Hakuna umri wa Serikali wa kuolewa. Kuwa mvumilivu ili usije juta baadae
Hahaha. Sie wenye rangi ya Baraka Da Prince tuishie hukuhukuHya wanaume weupe au maji ya kunde waje
Muishie mbali kabsa hta msichungulieHahaha. Sie wenye rangi ya Baraka Da Prince tuishie hukuhuku
Vigezo vyako ukifika 30th utamtaka wa rangi yeyote tena kwa msisitizo utasema unapenda weusi.Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Wee muache akifika 30 atamtaka yeyote mweusi na mfupi ataona wote dhahabuHahaha. Sie wenye rangi ya Baraka Da Prince tuishie hukuhuku
rangi tetehhhhhUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.
Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Una hamu!! Ina maana ulishawahi kuolewa mana huwezi kuwa na hamu ya kitu ambacho hujawahi kukifanya!..
Sema nataka kuolewa alafu punguza vigezo mana 26 uliyotaja ni ya kwako ya kibongo but tukichimba sio chini ya 29 so sema mwanaume yeyote alafu uangalie baraka ya Mungu.
Kav
Kabila gani ww? Kuna makabila yana gundu!
Chaguaaa wakati una miaka 26 ngoja ikifika 29 to 30 utarudi na uzi unaosema Natafuta mwanaume anaedinda tu bass umri,rangi na kimo tutavumiliana
Ila mademu wa kutafuta wapenzi mitandaoni wengi ni sura ngumu..yani hawatongozeki mtaani!!