Kyodowe
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,242
- 1,378
Hakika hata mimi ilinishangaza sana wakati waziri Jenista Mhagama anatoa maelezo mbele ya Mhe. Rais. Badala ya kuongea hoja za msingi anaanza kusifu kijana wa UVCCM.
Nikajiuliza vipi kuhusu wale wasiokuwa na chama waliojitoa usiku na mchana kuwahudumia waathirika, majirani waliowapa hifadhi waathirika, ndugu na jamaa wanaotuma michango mbalimbali, madaktari na askari wanaokesha kuokoa na kuwahudumia waathirika na mengine mengi.
Niliishia kupata maswali mengi pasipo majibu
Nikajiuliza vipi kuhusu wale wasiokuwa na chama waliojitoa usiku na mchana kuwahudumia waathirika, majirani waliowapa hifadhi waathirika, ndugu na jamaa wanaotuma michango mbalimbali, madaktari na askari wanaokesha kuokoa na kuwahudumia waathirika na mengine mengi.
Niliishia kupata maswali mengi pasipo majibu
Cha kushangaza ujinga huu unazidi kushika Kasi hapa nchini. System imefanya makosa makubwa sana kuruhusu chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, tena kwa shuruti. Sifa za kijinga zinazidi kushika kasi baada ya kuwa na uhaba wa mafanikio tarajiwa. The worse is yet to come.