Nina hakika ujinga sasa umevuka mipaka

Nina hakika ujinga sasa umevuka mipaka

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.
Kila mara nyingine tunakumbushana tu; tatizo letu wewe na mimi na wengine wote; linajitokeza katika haya uliyo andika katika mstari huu.

Kuna sababu zipi zinazokufanya wewe usiamini kuwa hayo yanayofanywa na hao watu siyo matakwa yake mwenyewe yafanywe!
Hawa watu wote wanashindana wenyewe kwa wenyewe kuonyesha upumbavu anaouhimiza mtu mwenyewe, sasa ulitaka wafanye kinyume chake?
Siku Samia akionyesha tu dalili za kuwa upumbavu huo hautaki, hutawaona tena hao watu wakipigana vikumbo kufanya hayo wanayo yafanya sasa hivi

Nimalizie kwa kusema kuwa inawezekana Samia mwenyewe kisha hitimisha kwamba waTanzania ndiyo hayo tunayo yapenda, ya kumtukuza kama kimungu fulani, na kwamba hali hiyo ndiyo njia itakayomwezesha kuendelea kutawala hawa wapumbavu.
Angetambua kwamba kuna waTanzania wanaodharau ujinga huo asingeendelea kuukumbatia na kuuruhusu kila mahali.

Hivi waTanzania kweli ni wapumbavu kama anavyo dhani yeye?
 
Na wewe unayeacha kazi zako na kufuatilia mambo yasiyokuhusu ni mjinga zaidi
 
Kila mara nyingine tunakumbushana tu; tatizo letu wewe na mimi na wengine wote; linajitokeza katika haya uliyo andika katika mstari huu.

Kuna sababu zipi zinazokufanya wewe usiamini kuwa hayo yanayofanywa na hao watu siyo matakwa yake mwenyewe yafanywe!
Hawa watu wote wanashindana wenyewe kwa wenyewe kuonyesha upumbavu anaouhimiza mtu mwenyewe, sasa ulitaka wafanye kinyume chake?
Siku Samia akionyesha tu dalili za kuwa upumbavu huo hautaki, hutawaona tena hao watu wakipigana vikumbo kufanya hayo wanayo yafanya sasa hivi

Nimalizie kwa kusema kuwa inawezekana Samia mwenyewe kisha hitimisha kwamba waTanzania ndiyo hayo tunayo yapenda, ya kumtukuza kama kimungu fulani, na kwamba hali hiyo ndiyo njia itakayomwezesha kuendelea kutawala hawa wapumbavu.
Angetambua kwamba kuna waTanzania wanaodharau ujinga huo asingeendelea kuukumbatia na kuuruhusu kila mahali.

Hivi waTanzania kweli ni wapumbavu kama anavyo dhani yeye?

Yawezekana haagizi moja kwa moja wafanye hivyo lakini kukaa kimya au kuonekana anafurahia wakati hayo yakifanyika ni automatic submission ya kuashiria anayapenda na kuyakubali mambo hayo.
 
Na wewe unayeacha kazi zako na kufuatilia mambo yasiyokuhusu ni mjinga zaidi
Vifo vya watanzania wenzetu, na yale yanayofanyika katika nchi yetu, ni mambo yasiyotuhusu?
 
Yawezekana haagizi moja kwa moja wafanye hivyo lakini kukaa kimya au kuonekana anafurahia wakati hayo yakifanyika ni automatic submission ya kuashiria anayapenda na kuyakubali mambo hayo.
Watu wa mwanzo kabisa kuwatafuta na kuwavuta kwake mara tu baada ya kuchukua uongozi walikuwa ni kundi hilo la wanasanaa; ikiwa na maana kwamba alifanya juhudi za kuwaleta karibu naye ili wamfanyie kazi aliyotaka waifanye.
Sasa wanafanya kazi hiyo aliyotaka ifanyike, na inamfurahisha sana.
 
Kujipendekeza, unafiki, ubinafisi,ufisadi,dharau ni sifa za majority ya ngozi nyeusi ,na akipata nafasi ya kuwa ndani ya serikali katika uongozi ama utumishi, sifa hizo hujidhihirisha bila kificho.
 
Mkuu tstizo siyo system bali tatizo ni wagombea wa uraisi. Unamleta mgombea uraisi anaishi nje ya nchi tena kampeni zake ni za masimango na majigambo mwanzo mwisho. Wewe unategemea nini?

Unavyowazia kubadilisha uongozi wa nchi jadili pia na kubadili uongozi ndani ya chama. Why kiongozi wa chama anakuwa ni kiongozi wa kudumu? Why waelewa tusifikilie kwamba kiongozi huyo amewekwa na chama tawala kwa manufaa ya chama tawala

CDM BADILISHENI UONGOZI WA NGAZI YA TAIFA ILI KUPATA MAONO MAPYA. ACHENI KUKIFANYA CHAMA KAMA NI MALI YA MTU.
Hapa ndio unaona umenipoteza maboya sana?! Kwahiyo unadhani sijui ukweli, Bali ukweli ni huu unaoniambia hapa?
 
Rais ni MMOJA wa wafiwa, sababu wananchi anaowaongoza wamepoteza ndugu zao na Mali.

Kumpongeza Rais msibani, ni kumpongeza Kwa kufiwa.

Kucheza ngoma katika tukio Hilo Si sawa.
Mila na desturi za watu wa Katechi Hanang kwenye misiba zikoje? nyimbo,ngoma,kulia au kuimba. Tujadili uhalisia wa matukio kuanzia hapo
 
Mila na desturi za watu wa Katechi Hanang kwenye misiba zikoje? nyimbo,ngoma,kulia au kuimba. Tujadili uhalisia wa matukio kuanzia hapo
Acha kelele yakhe. Kaburi halitaki mbwembwe!!
 
Mimi sioni haja yakumlaumu na kumdhihaki Rais na wasaidizi wake.Yule ni kiongozi lazima aheshimiwe
1)kupokelewa na kupigiwa ngoma zile ni protocol Za kiongozi ndo maana hata Marais wa nchi rafiki walivyokuja kwenye misiba ya Marais wetu waliotangulia mbele y'a haki protocol zilifuata kukagua gwaride na sanaaa na baadae kwenda sehemu husika
2)kusifia au kumpamba Rais hayo ni mahaba ya m2 Yeye hawezi kumkataza m2 anawaacha wajimwage ila anaweza kutoa maagizo kwa wasaidizi kama kuna mapungufu kayaona
3)Wajinga na washezi hawawezi isha Duniani tangu enzi za mitume na wataendelea kuwepo wanachoangalia wao ni maslahi yao binafsi
NB Tumwombe kiongozi wetu na Mungu ampe jicho la tatu ajifunze na kufanyia kazi mapungufu sio kumkashifu Je? Wazazi wetu wakikosea tunawakashfu? Jibu hapana
 
Mimi sioni haja yakumlaumu na kumdhihaki Rais na wasaidizi wake.Yule ni kiongozi lazima aheshimiwe
1)kupokelewa na kupigiwa ngoma zile ni protocol Za kiongozi ndo maana hata Marais wa nchi rafiki walivyokuja kwenye misiba ya Marais wetu waliotangulia mbele y'a haki protocol zilifuata kukagua gwaride na sanaaa na baadae kwenda sehemu husika
2)kusifia au kumpamba Rais hayo ni mahaba ya m2 Yeye hawezi kumkataza m2 anawaacha wajimwage ila anaweza kutoa maagizo kwa wasaidizi kama kuna mapungufu kayaona
3)Wajinga na washezi hawawezi isha Duniani tangu enzi za mitume na wataendelea kuwepo wanachoangalia wao ni maslahi yao binafsi
NB Tumwombe kiongozi wetu na Mungu ampe jicho la tatu ajifunze na kufanyia kazi mapungufu sio kumkashifu Je? Wazazi wetu wakikosea tunawakashfu? Jibu hapana

Sifa zisizo na tija zinamlevya Mtu. Hizi sifa sifa hata kwenye hakuna Watu no kusifia tu, no utumwa na upumbavu.

Hayo maagizo anayotoa watu watayafanyia maigizo. Sio Kwamba hajui, hapana anajua sana watu wake wanavyopenda kunafikia na kusifia hata kwenye hamna. Pesa za uokozi watafisadi, pesa za msaada wataiba, na rais hatakua na chakufanya Maana ni wapambe wake wanaomsifia kupumbaza wananchi.

Sisi hatutaki hayo masifa Yao ambayo hayana tija. Wafanye yao kimyakimya. Sio sifa sifa Mara kaacha kikao, Mara msikivu, blaaa blaaa tu,
 
IMG_0085.jpg
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Ifike muda sasa Rais ayakatae hadharani mambo ya uchawa anayofanyiwa na wapambe wake. Kwa jinsi hali ilivyofikia huenda yeye ndiye mwenye kuendekeza hali hii.

Ni dhahiri sasa anafarijika sana na upambe wa kichawa anaopewa, kwa kujiangalia yeye binafsi kupitia utukufu wa kiti cha mamlaka yake ya urais, zaidi ya kuwajibika kiutumishi kwa wananchi wake, wengi wao wakiwa wametopea katika lindi la umaskini mkubwa.

Inampasa ajipime na aone kama marais wenzake huwa nao wanafanyiwa mambo ya kichawa kama yeye. Atakuja kutambua alitazungukwa na wanafiki siku ambayo atamuachia mwingine nafasi hiyo ya urais. Hapo ndipo hatasikia tena watu aina ya Lucas Mwashambwa et. al. wakiiangaika kupandisha nyuzi za kumsifia.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Pumbavu Hana dawa {PhD} ndo zimejaa selikalini ni vigumu sana kubadilika.
 
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Kabisa

Hila ujumbe sio kwa raisi tu, hata kwa wananchi huko serikalini tumejaza watu wa hovyo.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
In short Tz hautuna kiongozi 2na matope
 
Inaonekana huyo mama ndio zake hizo anapenda kusifiwa hata upepo ukivuma anataka apongezwe kwa upepo mzuri! Sasa hata maafa yakitokea anataka apongezwe pia, haya hongera bibie kwa mafuriko ya Hanang!
Hahahaa, Unyama mwanng, ila usimlaumu madem ndo walivyo wanapenda kusifiwa vibaya mno
 
Back
Top Bottom