Nina hakika ujinga sasa umevuka mipaka

Nina hakika ujinga sasa umevuka mipaka

Vyeo walivyonavyo wamevipata kutokana na vitendo vyao vya kujikomba, kujipendekeza na kusifia kwa unafiki. Je, wataachaje kufanya vitendo hivyo wakati ndivyo vinawapatia shibe yao ya kila siku???
"Mtumikie kafiri ili upate mradi wako."
Jambo la msingi wanalotakiwa kujua wenye kutoa vyeo ni kwamba, watu wanaojikomba sana ni rahisi kusaliti hata kuua viongozi wanaowateua kuliko wale wasiojikomba.
Akili inayojikomba sana ni hatari kuliko ndui.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Mkuu,

Hujui kwamba kampeni za 2025 zishaanza kwa kasi kubwa sana?
 
Ujinga nao ni kipaji Mkuu.

WAACHE WAONYESHE VIPAJI VYAO

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Katiba ya Tanzania imempa Rais umungu mtu, hivyo 'waja' lazima wajikombe wapate neema yake.
Rais anatakiwa apime, ateue watu wenye akili za kawaida, zilizoridhika kulingana na mazingira, wasiojikomba sana ili kujenga taifa la watu wanaojielewa.
Changamoto ni jinsi ya kuanza, kwa ni yawezekana wengi wa wanaopendekeza na kufanya vetting, wakawa na fikra hizo hizo za sifa za kujipendekeza na kujitoa ufahamu.
 
Yaaani porojo zako zote ulizo piga hapa ni kwa kuwa tu mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania anapongezwa kwa kazi nzuri na maelekezo yake watendaji wa serikali kwa ajili ya kuwasaidia wahanga na majeruhi wa mafuriko ya Hanang eneo la kateshi. Kinachokutesa wewe siku zote ni chuki zako binafsi kwa mh Rais na li roho lako baya lililojaa wivu hasa baada ya kuona mh Rais akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.
Rais ni MMOJA wa wafiwa, sababu wananchi anaowaongoza wamepoteza ndugu zao na Mali.

Kumpongeza Rais msibani, ni kumpongeza Kwa kufiwa.

Kucheza ngoma katika tukio Hilo Si sawa.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
CCM wana upumbavu mwingi sana
 
Wewe nadhani Ni mgeni Tz .....hao hao watu walitangulia Hanang kutanua na Chopa na kupiga selfie nyingiii. Endelea kuwashangaa wakishakusanya posho wanakuja kuwanunulia vijana pombe Kali vya buku mbili mbili wawasifie
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Watu wanataka kiki hadi Msibani🤣🤣
 
Jambo la msingi wanalotakiwa kujua wenye kutoa vyeo ni kwamba, watu wanaojikomba sana ni rahisi kusaliti hata kuua viongozi wanaowateua kuliko wale wasiojikomba.
Akili inayojikomba sana ni hatari kuliko ndui.
Ni kweli, upo sahihi.

Watu wanaojikomba ni watu walioukatia tamaa utu wao. Ni wale watu ambao mioyoni wameshajiapiza kuwa, "nipo tayari kufanya chochote alimradi nipate cheo au fedha". Huyu hata akiambiwa aue ili apate cheo au fedha, yupo tayari. Hata akiambiwa awe shahidi wa uwongo ili apate cheo au fedha, yupo tayari. Huyu akiwa na cheo kidogo, akishawishiwa amwue hata boss wake ili achukue madaraka mtu mwingine, na yeye apewe cheo kikubwa zaidi, atakuwa tayari kufanya hivyo.
 
Huwa nawashangaa sana nyie, mnawalaumu hao watu kweli?

Tatizo sio wao, tatizo lipo juu huko. Kama kweli "HOS" anajua kilichompeleka huko, asingeruhusu wala ku-entertain huo ujinga, lakini it was okay for him/her( whoever is concerned), sasa unawalaumu kweli hao watu unamuacha huyo?????
 
Tu
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Tuogope sana kuwa na taifa la wajinga wengi wengi maana wakiwa wengi wanao uwezo wa kuchagua kiongozi kutoka kwenye kundi lao hivyo taifa litaongozwa na kiongozi mjinga (James Mbatia akitoa mchango wake Mbungeni).
 
Huwa nawashangaa sana nyie, mnawalaumu hao watu kweli?

Tatizo sio wao, tatizo lipo juu huko. Kama kweli "HOS" anajua kilichompeleka huko, asingeruhusu wala ku-entertain huo ujinga, lakini it was okay for him/her( whoever is concerned), sasa unawalaumu kweli hao watu unamuacha huyo?????
Hawezi kukosa kubeba lawama, maana si rahisi watu wakufanyie mambo usiyoyapenda.
 
Yaaani porojo zako zote ulizo piga hapa ni kwa kuwa tu mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania anapongezwa kwa kazi nzuri na maelekezo yake watendaji wa serikali kwa ajili ya kuwasaidia wahanga na majeruhi wa mafuriko ya Hanang eneo la kateshi. Kinachokutesa wewe siku zote ni chuki zako binafsi kwa mh Rais na li roho lako baya lililojaa wivu hasa baada ya kuona mh Rais akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.
Chawa hupendelea mazingira machafu ama uchafu.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa upumbavu ni sifa sawa na ilivyo ufupi au urefu; yaani huwezi kuubadili. Ina maana, kwa tafsiri ya Mwalimu Nyerere, mpumbavu huwezi kumbadilisha akawa mwerevu.

Pole sana ndugu zetu wa Hanang kwa janga hili kubwa lililowapateni.

Wananchi tuliposikia Rais anaenda Hanang tuliamini kuwa anaenda kuwapa faraja waathirika, sawa na baadhi ya wengine wanavyostahili kufanya.

Lakini kwa bahati mbaya inaonekana Serikali na ikulu imejaa watu wa ajabu, ambao wamevuka hata ule mstari wa ujinga. Badala ya kuifanya ziara ya Rais kuwa ni ziara ya kuwapa faraja waathirika, wao wakaigeuza ziara hiyo kuwa ya uchawa. Yaani ziara ya kumsifia na kumpamba Rais.

Hawa watu ambao kwa kweli wamevuka hata kiwango cha ujinga, walishindwa kumtafutia mahali sahihi Rais wakampambe kwa uchawa wao wa kinafiki mpaka wakatumie misiba ya watu wa Hanang? Wakaandaa mpaka vikundi vya sanaa, ambavyo badala ya kuwafariji waathirika, wao kàzi yao ikawa kumsifu na kumwabudu Rais.

Hivi kweli nchi hii tuna watu wenye upeo mdogo kiasi hiki? Siamini na wala sishawishiki kuamini kwamba Rais alikuwa anayatarajia hayo.

USHAURI
Mambo kama haya ya hovyo, yanampa ujumbe Rais kuwa ndani ya Serikali yake amejaza watu wa hovyo wasioelewa hata kitu gani kifanyike wakati gani!!
Hapo, bila kupepesa macho, tatizo kubwa ni kwa anayesifiwa. Chawa wanajua ulipo uchafu wakazamie
 
Yaaani porojo zako zote ulizo piga hapa ni kwa kuwa tu mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania anapongezwa kwa kazi nzuri na maelekezo yake watendaji wa serikali kwa ajili ya kuwasaidia wahanga na majeruhi wa mafuriko ya Hanang eneo la kateshi. Kinachokutesa wewe siku zote ni chuki zako binafsi kwa mh Rais na li roho lako baya lililojaa wivu hasa baada ya kuona mh Rais akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.

Kaka hata Kama ni uchawa sio Kwa stail yako.
Watanzania pamoja an upunguani walionao, wanaujua ukweli halisi. Usijitoe ufaham kiasi cha kupoteza utu wacko
 
Cha kushangaza ujinga huu unazidi kushika Kasi hapa nchini. System imefanya makosa makubwa sana kuruhusu chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, tena kwa shuruti. Sifa za kijinga zinazidi kushika kasi baada ya kuwa na uhaba wa mafanikio tarajiwa. The worse is yet to come.
Mkuu tstizo siyo system bali tatizo ni wagombea wa uraisi. Unamleta mgombea uraisi anaishi nje ya nchi tena kampeni zake ni za masimango na majigambo mwanzo mwisho. Wewe unategemea nini?

Unavyowazia kubadilisha uongozi wa nchi jadili pia na kubadili uongozi ndani ya chama. Why kiongozi wa chama anakuwa ni kiongozi wa kudumu? Why waelewa tusifikilie kwamba kiongozi huyo amewekwa na chama tawala kwa manufaa ya chama tawala

CDM BADILISHENI UONGOZI WA NGAZI YA TAIFA ILI KUPATA MAONO MAPYA. ACHENI KUKIFANYA CHAMA KAMA NI MALI YA MTU.
 
Back
Top Bottom