Nina hakika Mzee wa Msoga saa hizi anashangilia huku akijisema moyoni Mungu hamfichi.....

magufuri akiingia madarakani mm nitastafu kwa raaaha na kupata usingizi by jmk

sasa ww hizo kelele za umajunguni unazutoa wapi wakati mkwere anashinda ikulu kumpongeza jpm
chadema wanakiwanda cha majungu na uongo by jpm
Kumbuka chadema kwa sasa wapo kwenye kikaango cha moto..wanafundishwa kufanya siasa za ustaarabu na kuheshimu watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu endelea kutunyosha baba, ukikaza, sis mtaan tunasikia...ni bora vinavyoonekana kwa macho kuliko vya kufikirika, unafiki hautaisha Tanzania, lkn tutakulinda na tupo kwa ajili yako...
 
Kwa spidi hii, upinzani huu hata Magu baada ya kuondoka madarakani mtamkumbuka kwa mazuri na kumsifia.
Leo kikwete ni kama shujaa kwa wapinzani.
 
Chezea wanafiki...aliyekuwa mtetezi namba wani wa Mzee wa Msoga humu ndani, FaizaFoxy, sasa kampa kisogo na kuachana na chakacha ya pwani anasakata rumba ya bara anakotoka Jiwe. Sijui kaka yake Ritz yeye kapotelea wapi...kweli dunia mviringo.
Mkuu, hawa jamaa ni ccm damu. Usipoteze muda kuwa watakuwa upande wako kwa kuwapaka mafuta.
 
Kwa spidi hii, upinzani huu hata Magu baada ya kuondoka madarakani mtamkumbuka kwa mazuri na kumsifia.
Leo kikwete ni kama shujaa kwa wapinzani.
Silver Back

Unajua kawaida ya kila mwanadamu, ni hii. Binadamu kwa asili ni mbinafsi, kwa hiyo katika kila alitendalo ni kutoka na nguvu ya ule ubinfsi wake, kwamba ni lazima liwe na tija kwake. Kwa jinsi hiyo, hutaweza hata siku moja kukubaliwa na watu wote, na hasa unapokuwa kiongozi.

Lakini jambo zuri kuhusu sisi binadamu, mara zote tumekuwa tukitekeleza mambo kwa ajili ya kuhakikisha walio karibu yetu wanatukubali na kutufurahia. Hapo tunakuwa na ile hali ya upendo wa asili wa mtu kwa mtu. Hata hivyo, bwana Silver... Tunakuwa tunakosea wakati mwingine, mara nyingi katika utendaji wetu. Lakini kukukosea huko haikanushi ile dhamiri zetu kwa watu hao wenzetu.

Ni ukweli kuwa mzee Kikwete ametenda mazuri mengi sana katika kustawisha uchumi wa Tanzania hii ya sasa. Kama mwanadamu alipokosea alisema waziwazi bila kificho. Vivyo hivyo kwa Rais wa sasa, haya anayoyatenda sasa umuhimu wake utaonekana baadaye; na kama ni ushujaa, ni imani yangu wanaompinga sasa watampa ushajaa mara baada ya mzee huyu kutoka madarakani. Kwa sasa hawawezi kumuelewa kwa sababh wamezongwa na kelele za wababaishaji ambao kwa ubinafsi wao hawataki kuyasema wazi yaliyomazuri; badala yake wanayafunika kwa kuzusha malalamiko bandia, ili wakipate wanachokitafuta kwa ajilo ya binafsi zao.

Ni suala la wakati tu. Amini nakuambia kaka, umuhimu wa mzee huyu utapata kujidhihirisha akishamaliza muda wake wa uongozi. Ikumbukwe hata mtume Muhammad (SAW) kwa mara ya kwanza alipowapa watu wake ujumbe utokao kwenye kuran tukufu, hawakumuelewa! Wakamuita mzushi na muongo. Lakini sasa, wengi wamemuelewa na wengi wameyapokea mafundisho yake.
 
Afadhali mwenzie alikuwa anazembea baadhi ya mambo lakini hakuwa na roho ya Shetani , katili, na hazikupotea tilioni 2.4 .

Zimepotea? Are you sure ? Si Heri hata Sasa unaskia uliibiwa na mkeo hukujua Sasa unajua. Na hapo utakuwa Wa Kwanza kupanda Train La umeme umekenua meno na unatuma ujumbe jF kutukana. Baadhi ya Watz kama wewe Wanafiki sana
 

Unalipwa sh ngapi mkuu . Tupeni uzi za Chadema. Sera tuzijue. JPM
Mmeshamtungia sana uzi. Na ukiona mgonjwa analia jua kaguswa. We unaongoza.
 
Mkuu umesema ukweli hakuna upinzani unaweza fanya nusu ya aliyofanya ccm kwasasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee huyu baada ya kuondoka ofisini zaidi ya miaka mitatu iliyopita, mrithi wake amekuwa akimshambulia kimafumbo kwamba aliacha kila kitu kiende hovyo hovyo na watu wapige madili.
kwa hiyo unakataa?si ulisema kikwete ni dhaifu anacheka cheka tu?zipo posts zako humu
 
Kwa spidi hii, upinzani huu hata Magu baada ya kuondoka madarakani mtamkumbuka kwa mazuri na kumsifia.
Leo kikwete ni kama shujaa kwa wapinzani.
Nimesema hapo juu kumbe jamaa mleta uzi alishaponda.

 
Hw What is this. Mambo gani kwa mfano! Hebu yataje! Maan wengine hatuyaoni zaidi ya Infrastructure kuboreka nk. Hata akitaka kumtegea aanguke hamuwezi at all!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…