Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 3,202
- 9,025
YESU ni mwema atakuvusha
Ubarikiwe mkuu!!Mtu wa Mungu naomba nikutie moyo katika vita unavyopitia maishani. Mungu ameruhusu hivyo vita maana anajua njia ya pekee ya wewe kuendelea kuimarika katika maisha yako ya imani na mahusiano yako na Yeye ni kwa njia ya hivyo vita na hizo changamoto unazopitia maishani.
Kumbuka siku zote uwapo vitani, haijalishi hiyo vita ni kubwa kiasi gani, si kubwa ukilinganisha na vita vilivyo mbele yako katika siku za usoni. Vita vya jana vinakuandaa kwa ajili ya vita vya leo na kadhalika vita vya leo vinakuandaa kwa ajili ya vita vya kesho.
Wakati Daudi akiwa peke yake kule nyikani na kondoo za baba yake, alitokewa na dubu na simba. Daudi angeweza kukimbia maana kw a kweli ukilinganisha dubu na simba na Daudi, Daudi asingekuwa kabisa na uwezo kwa namna ya kawaida kukabiliana nao. Lakini Daudi katika ushuhuda wake kwa Sauli alisema kuwa Mungu alimwokoa na kinywa na makucha ya Dubu na Simba.Ushuhuda wa vita vyake vya jana vilikuwa kianzio vya vita vyake vya leo. Daudi aliandaliwa na vita vyake dhidi ya dubu na simba kukabiliana na Goliati maana Mungu aliyemwona alipokabiliana na dubu na simba alikuwa na uhakika kabisa kuwa ni Mungu atakayemwona atakapokabiliana na Goliati.
Usidharau vita vyako vya leo maana vinakuandaa kwa ajili ya vita kubwa zaidi kesho. Mungu anaikuza imani yako kupitia vita vyako vya leo ili iwe imara vya kutosha kwa ajili ya vita vyako vya kesho.
Usikubali kunyong’onyeshwa na pito lolote la leo.
Chukulia kama ni maandalizi kwa ajili ya mapito makubwa zaidi kesho.
Endelea kumwamini Mungu katika lile ulipitialo leo.
Katikati ya vita unavyopitia ukihakikisha haya unayafanya kwa uaminifu na nidhamu ya hali ya juu utu wako wa ndani utazidi kuimarishwa katika hali hiyo unayopitia.
Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana; tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele. 2 KOR. 4:16-18 SUV
Katika Wagalatia 6:5,Yesu nakuhitaji vivyo kila saa niwezeshe mwokozi nakuujia .??
Nimekosa nguvu kila saa matatizo.
Hayaishii huwezi ukasema nipo sawz sasa ukafurahi unaletewa jingine hadi mtu anachoka eti
🤣🤣🤣Kuna ugumu gani kwa Mungu kujibadilisha na kuchambwa?
Sasa hapo wapi waliposema anaabudiwa?YESU ANAABUDIWA KWENYE kurani kwamba ni Mungu na hakufa bali alipaa mbinguni.
Surah An-Nisā (4:157–158)
وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ... بَل رَّفَعَهُ ٱللَّهُ إِلَيْهِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا
“Wala hawakumuuwa, wala hawakumsulibisha, bali iliwadhihirikia hivyo tu. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake...”
Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake sio Alijinyanyua kwake , labda kiswahili kinakupa taabuYESU ANAABUDIWA KWENYE kurani kwamba ni Mungu na hakufa bali alipaa mbinguni.
Surah An-Nisā (4:157–158)
وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ... بَل رَّفَعَهُ ٱللَّهُ إِلَيْهِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا
“Wala hawakumuuwa, wala hawakumsulibisha, bali iliwadhihirikia hivyo tu. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake...”
wakati wenzako wanamsoma YESU na kumuabudu ukiwa madrasa na msikitini, wewe ulikuwa busy unakula kitimotoSasa hapo wapi waliposema anaabudiwa?
Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake sio Alijinyanyua kwake , labda kiswahili kinakupa taabu
View: https://www.instagram.com/reel/DYzDbUIozsh/?igsh=eTNxMm1sMXM2YTlu
Jibu swali usikwepe kwa porojo🤣🤣🤣wakati wenzako wanamsoma YESU na kumuabudu ukiwa madrasa na msikitini, wewe ulikuwa busy unakula kitimoto
Porojo tu badala ya kujibu hojaurudi ukachapwe kiboko 🍆 na mwl wa madrasa ili akukumbushe kusoma vzuri 💩
Bado hujaleta Aya Yesu ni Mungu , huna hiyo Aya kwani haipourudi ukachapwe kiboko 🍆 na mwl wa madrasa ili akukumbushe kusoma vzuri 💩
urudi ukachapwe kiboko 🍆 na mwl wa madrasa ili akukumbushe kusoma vzuri 💩
Hallelujah YESU Kristo ni Mungu, ndani ya dakika chache umemkiri YESU kwa kulisoma neno lake.
- Yohana 17:3: Katika maombi yake, Yesu anamtambulisha Mungu pekee: "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."
- Marko 10:18: Yesu anajibu: "Mbona kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ni Mungu."
- Hesabu 23:19: Agano la Kale linaweka wazi asili ya Mungu: "Mungu si mtu, hata akasema uongo..." Yesu (kama mwanadamu) hawezi kuwa Mungu.
Sasa wewe mwenyewe si umesoma Qur’an hapo juu au umesahau?Hallelujah YESU Kristo ni Mungu, ndani ya dakika chache umemkiri YESU kwa kulisoma neno lake.
Hapo ndipo mnapo shindwa akili na wakristo