IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 799
Hello, Nipo Mbeya mjini,
Nahitaji nisaidiwe wazo la namna ya kuitumia Noah yangu kibiashara. Bado nzima sana.
Mawazo yangu niwe naenda route ya Mby-dar-mby safari za jioni...tatizo upatikanaji wa abiria (nasikia wasaka abiria wanakata hela nyingi sana), nimejaribu kukodisha hapa mby, dau lao ni dogo sana...Je lipi wazo lingine?
PM OR MSG 0687072066
Nahitaji nisaidiwe wazo la namna ya kuitumia Noah yangu kibiashara. Bado nzima sana.
Mawazo yangu niwe naenda route ya Mby-dar-mby safari za jioni...tatizo upatikanaji wa abiria (nasikia wasaka abiria wanakata hela nyingi sana), nimejaribu kukodisha hapa mby, dau lao ni dogo sana...Je lipi wazo lingine?
PM OR MSG 0687072066