Nina fuso, natafuta tender

Doltyne

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
440
170
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele.

Mwenye taarifa au kuhitaji anipm tafadhali.
Nb: gari iko katika hali nzuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom