Mwache! Aende akaishi kwenye jehanam ya DuniaKuwa engenieer au kitu kingine utakuja nikumbuka ukisema wewe ni mwalimu hata wachumba watakukimbia wanacheleshewa mishara wako kama mapolisi mishahara yao ya mashaka Mpwayungu Village angalia huyu anataka kuingia kwenye moto ulao
Hio ndo mbaya zaidi, bora ualimu wa physics kuliko kusoma BSc Physics pureSoma hio nzuri sana
Physics ndio baba lao,
Ukienda ualimu unaenda kujitia umasikini
Mwambieni huyoShida ya uaalimu hauna maokoto
Bora hata polisi
NImekugeti brotherHata hiyo two wenda uliipata kwa kuibia.
Kweli pcb nzima unachagua kozi ambayo huijui?
Hata pale kcmc hujapata kozi yoyote?
KWa two yako ulishindwa hatakuomba building economics, architecture, geomatics, irrigation ya sua? Hata environmental engineering hukuona? Hata land valuation?
Hiyo phy ungekua uko USA au ulaya au asia ndio ningekuelewa.
Utapoteza muda kusoma vitu ambavyo hupendi uje uanze kutusubua badae.
Badilisha kozi kama haifai acha chuo uombe tena mwakani. Bora upoteze mwaka mmoja kuliko miaka3.
DUH uhasibu hapan kwakweliSomea uhasibu utakuja nishukuru
DuuuuhIngekua ivo si kila mtu angeomba alafu akipata nafasi aende kuchange achukue MD?
Kijana uneingia cha kike ilibidi ulete huu uzi kabla huja confirm. Hapo potezea chuo mwaka huu uombe tena mwakani.
DuhYabi hata BVM ya SUA umeshindwa kuomba? Acha usiende chuo nenda mwakani.
Sa hiyo engineer ni ya cheti gani form four awNenda dit anza diploma ya electrical engineering hutojutia , siku za likizo una soma refrigeration ukimaliza 3years ya diploma ukikosa kazi njoo uniroge
DUHiiMwache! Aende akaishi kwenye jehanam ya Dunia
😁😁 Aw cioWe bado una utoto mwingi sana kichwani. Inaonesha bado una miaka 16.
Kwamba siku hizi PCB 'singo dijiti' nyingi sana?Hayo matokeo yako ya kawaida saaana sana dogo na mbali na hapo hiyo kozi unaenda kupoteza muda kasome ardhi QS.
Bila shaka dogo hukutarajia ushauri mkavu namna hii, wadau wamekuchoma kweli kweli.
Sielewi kwakweliKwamba siku hizi PCB 'singo dijiti' nyingi sana?
Ata sielw ynKwamba siku hizi PCB 'singo dijiti' nyingi sana?
Soma kwanza si lazima ufanye kazi kwa kutumia taaluma uliyosomeaHaina ias
Vipi kuhusu soko baada ya kuhitimu brother