Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Course nzuri sana ,sema perception Kwa hapa Bongo ,watu hawaelewi applications za hii course ,hii course inalenga kutoa watafiti ,wavumbuzi na wabunifu wa technology .
Elon Musk mwenyewe ana degree ya Physics ,hebu niambie ,mnakionaje kile kichwa na mambo kinachoyafanya ?
Ukisoma hii course kuwa na vision huko mbele ya kufungua hata tech startup yako
Shida vyuo vya bongo haviko serous, Elon Musk wenda kasoma iyo, ila swali ni vyuo vya Bongo ambavyo kijana anamaliza chuo na fikra tu ,
 
Haina ias



Vipi kuhusu soko baada ya kuhitimu brother
Hawa wakiwa shule wanajifanya wataishi mwezini mara marekani mabomu physics nitakiwa boss ofisini wazee hawajasoma sasa watu wanakuambia kasome nursing wenye uhakika wa ajira tena uende diploma utasomeshwa na serikal huko mbele ww unashupZa shingo ya bachelor kuna mtu alishakwambia kapoteze mda na ndio ilivo kapoteze mda
 
Back
Top Bottom