Kson Investment
JF-Expert Member
- Sep 6, 2024
- 327
- 430
- Thread starter
- #81
Kwanini?Dogo ushapotea
Kwanini?Dogo ushapotea
Acha uboya, Hiyo program akimaliza atarudi na theories na practicals Kama za advance tuSoma hiyo course kijana, usiwaze maokoto piga gpa kali ukimaliza kasome masters yyte kuhusu mambo ya technology ( robotics, aerospace, industrial tech etc) najua ukiua vizuri huwezi kukosa scholarship US, russia au hata turkey usiwe na haraka ya maisha wewe bado mdogo kuwa na ndoto kubwa usiwasikilize hao maboya wanaokushauri ukasome nursing WTF, uzuri hiyo itakufungulia uwanja mpana katika kuchagua course ya masters
Bora chemistry wanajulikana kazi zao, mara nyingi ni Quality assurance officer viwaandani.Hakuna kozi hapo, badili haraka sana. Ni heri usome education kuliko hiyo bachelor of physics. Waulize waliosoma before hizo za Bioz, chem, science general etc...
Bora chemistry wanajulikana kazi zao, mara nyingi ni Quality assurance officer viwaandani.
Ila Bio, Physics, Math, yaani mtu anafika mwaka wa 3 hajui hata anasomea kazi gani
Vyuo vinafanya biashara tu, UDOM college hiyo uliyochaguliwa (CNMS) Kuna program inaaitwa AQUATIC SCIENCESasa Kama vyuo vinatoa nafasi halafu tunapondea unadhani hiyo hali itaishaje wavumbuzi tunao vyuo tunavyo ila sijui watu tunafelia wapi
Yaani tatizo nimesh confirm nikijaribu ku unconfirm inagoma
Yes, wahi tu kuripotiSi nasikia kuna kuchange koz aw ipoje huwaga
Apo sasa ndio changamotoVyuo vinafanya biashara tu, UDOM college hiyo uliyochaguliwa (CNMS) Kuna program inaaitwa AQUATIC SCIENCE
Ukame wa Dodoma unafikiri mtu atasoma kwa vitendo?
Mfumo wa ajira haukutambui kama wewe ni mwalimu.A
Anhaaa mana yake kumbe kwa badae unaweza kuifanya ikawa ualim
Wa physics na chemistryUalimu wanini??
College kama mwajiriwa serikalini aw kujitoleaMfumo wa ajira haukutambui kama wewe ni mwalimu.
Unaweza kufundisha colleges labda
I mean hiyo fani ya ualimu ni nzuri ila kwa wanaume mmh haileti mvuto sorryWa physics na chemistry
Kwamba walimu wa kiume hawapo aw una maana ipi hasaI mean hiyo fani ya ualimu ni nzuri ila kwa wanaume mmh haileti mvuto sorry
Acha kufananisha elimu ya Bongo na nchi zilizoendelea.Course nzuri sana ,sema perception Kwa hapa Bongo ,watu hawaelewi applications za hii course ,hii course inalenga kutoa watafiti ,wavumbuzi na wabunifu wa technology .
Elon Musk mwenyewe ana degree ya Physics ,hebu niambie ,mnakionaje kile kichwa na mambo kinachoyafanya ?
Ukisoma hii course kuwa na vision huko mbele ya kufungua hata tech startup yako
Mi nakushauri nenda ardhi kasome interior designing hapo unasomea kazi mzeeNimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
SASA kama sio sisi tutakaoanzisha wote tukapondea unadhani tutatoboa?Acha kufananisha elimu ya Bongo na nchi zilizoendelea.
Acha kufananisha vipaumbele vya nchi zilizoendelea na Bongo
Bongo hatuna kipaumbele cha utafiti na uvumbuzi
Kuwa engenieer au kitu kingine utakuja nikumbuka ukisema wewe ni mwalimu hata wachumba watakukimbia wanacheleshewa mishara wako kama mapolisi mishahara yao ya mashaka Mpwayungu Village angalia huyu anataka kuingia kwenye moto ulaoKwamba walimu wa kiume hawapo aw una maana ipi hasa