kazi ya nini waza kujiajili ulizia ni mladi gani wa kufanya maana form six siyo kigezo cha kupata kazi swala ni taaluma ambayo kwa sasa hauna.
Nenda shule kajifunze kiswahili
issue siyo posho ndugu yangu lakini inakera sana mtu amefika hapa na tatizo lakini unampa kejeli,ingekuwa ni kutafuta u house boy nadhani asingefika hapa,tujifunzeni ndugu zangu,inakera sana muomba msaada kuishia kejeli na vijembe badala ya msaada anaotakahaya POPE umesikika njoo uchukue posho
land mark nimeomba ya receiption lakini nahic kuna harufu ya rushwa pale hapanifai mimi mzalendo
komaa mzee mwenzangu.hata mimi ni kama wewe......kwa ushauri mzuri wa jf sasa ni mwanafunzi wa MAENDELEO YA JAMII....KATIKA CHUO CHA TEOFILO KISANJI...BAADA YA KUGANGA TOKA FORM 6 SASA NAJILIPIA ADA MWENYEWE......
Mi nafikiri ungemaliza hiyo kozi yako hapo open university, japo umesema uchumi unakusumbua kidogo but at least ukiwa na bachelor soko linakuamini kuwa uta-deliver. Pole kwa changamoto za maisha nakumbuka hata mm zilinikumba nilipomaliza form six nikakosa sponsor wa kunisomesha higher learning. Usife moyo mdogo wangu wala usione aibu katika ku-fight.