nina cheti cha form six chumbani

nina cheti cha form six chumbani

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,824
Reaction score
3,089
habari wadau natumai wote wazima sasa bila kumung'unya ng'unya maneno mimi ni muhitimu wa kidato cha sita miaka kadhaa iliyopita na nilifanikiwa kujiunga na chuo kikuu huria (open university of tanzania) na bado naendelea na masomo hapa out lakini kuna changamoto zinazojitokeza hasa za kiuchumi na maspmo kwa ujumla hivyo yanipasa nitafite kazi ya kufanya ili nikabiliane nazo kwa kipindi kirefiu nimeptafuta kazi bila mafanikio lakini katika kutafuta huko kazi sijatoka bure kuna vitu nimejifunza. nimekuja hapa jamvini kuomba msada ni aina gani ya kazi naweza kupata kulingana na elimu yangu ya form six hii itanisadia hata mimi kutokupoteza muda kwa kazi ambayo kuna uwezekano haba wa kuipata
asanteni na subiria majibu yenu:dizzy:
 
We subiria tu Landmark ile ya Ufagizi uliyoomba, ndo yakufaa!!
 
Tatizo nadhani unakata tamaa mapema. wewe endelea kuomba kazi tu utafanikiwa siku ya Bwana ikifika
 
We subiria tu Landmark ile ya Ufagizi uliyoomba, ndo yakufaa!!

land mark nimeomba ya receiption lakini nahic kuna harufu ya rushwa pale hapanifai mimi mzalendo
 
Tatizo nadhani unakata tamaa mapema. wewe endelea kuomba kazi tu utafanikiwa siku ya Bwana ikifika

tatizo sio kukata tamaa mapema mapema bali ni kuopmba kazi zionazokuhusu unaweaza ukawa unatuma maombi kila siku na kulalamika kuwa hupati kazi kumbe tatizo unatuma sehemu zisizo kuhusu
 
Siyo jibu zuri,ni vigumu kwa mtu mwenye busara na hekima kumjibu mwenzako hivyo,kukaa kimya napo ni busara si lazima ku coment kila unachokiona hapa,sidhani kama aliyeleta maada anahitaji u house boy...pole sana mleta maada

Mkuu hata mimi nimesikitika sana kwa majibu ya jamaa hapo juu.Nimemsifu mleta mada alivyomstaarabu katika kujibu kejeli.
 
'mswahili anasema mdomo ukikaa kimya hutoa harufu chafu but its better kuliko mdomo unaotoa maneno machafu coz ukimkimbiza chizi we ndo utaonekana chizi,fanya yako'
 
Siyo jibu zuri,ni vigumu kwa mtu mwenye busara na hekima kumjibu mwenzako hivyo,kukaa kimya napo ni busara si lazima ku coment kila unachokiona hapa,sidhani kama aliyeleta maada anahitaji u house boy...pole sana mleta maada

asante ndugu utafanyaje tena si unajua ukubwa jalala utatupiwa vingi yakupasa kuvumilia busara inapaswa kutumika ili kuleta utulivu
 
Siyo jibu zuri,ni vigumu kwa mtu mwenye busara na hekima kumjibu mwenzako hivyo,kukaa kimya napo ni busara si lazima ku coment kila unachokiona hapa,sidhani kama aliyeleta maada anahitaji u house boy...pole sana mleta maada

Ungebahatika kusoma thread zake kama 4 hivi za nyuma wala usingeshangaa majibu anayopewa. Z guy isn't serious at all!
 
aisee kuna watu wanroho ngumu sana hata huruma hamuoni mnammjibu jamaa vibaya .ushauri wako ni mzuri sana kama huwezi wacha tu usiseme
 
Mkuu hata mimi nimesikitika sana kwa majibu ya jamaa hapo juu.Nimemsifu mleta mada alivyomstaarabu katika kujibu kejeli.

Naungana nawe Mkuu, mleta mada ni mstaarabu sana.
appoh, ushauri wa mkayala ni mzuri. Unaweza kutafuta shule ufundishe au kuanzisha darasa lako mwenyewe (tuition). Mwanzoni wanaweza kuwa wanafunzi wachache lakini wakishaona juhudi yako baada ya muda wataongezeka
 
Last edited by a moderator:
Siyo jibu zuri,ni vigumu kwa mtu mwenye busara na hekima kumjibu mwenzako hivyo,kukaa kimya napo ni busara si lazima ku coment kila unachokiona hapa,sidhani kama aliyeleta maada anahitaji u house boy...pole sana mleta maada

haya POPE umesikika njoo uchukue posho
 
kazi ya nini waza kujiajili ulizia ni mladi gani wa kufanya maana form six siyo kigezo cha kupata kazi swala ni taaluma ambayo kwa sasa hauna.
 
kazi ya nini waza kujiajili ulizia ni mladi gani wa kufanya maana form six siyo kigezo cha kupata kazi swala ni taaluma ambayo kwa sasa hauna.

nimekuelewa kumbe tatizo ni taaluma asante sana kwa kunifungua
 
Back
Top Bottom