Fanya taratibu za uhamisho wa kikaziMkuu nikihama mkoa kazi nayo naacha?
Hahahah saiv ushazeeka aseeBasi tulia nije mie kukutolea posa
Haujamaliza kutafakar bro... masihala hayokwanza shukuru mungu ni mtoto mmoja,ingekuwa ni mapacha sidhani hata kama ungepata nguvu za kuandika hii thread
pole sana, ngoja nitafakari cha kukushauri. ntarudi
Ng'ombe hazeeki mainiHahahah saiv ushazeeka asee
Ng'ombe hazeeki maini
Hellow Jukwaani...
Kwa mara nyingine ninawasalimia. Wadau nina changamoto kubwa inanisumbua sana. Awali ya yote nipende kumshukru Mungu kwa hapa nilipofika maana bila mapenzi yake isingewezekana.
Nakumbuka niliweka thread humu kuhusu kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha sita na baadaye akajifungua mtoto wa kiume.
Sasa changamoto iliyopo ni baada ya kufika nyumbani kwao ambao walinipiga fine ya ng'ombe watatu majike hii ilikuwa kwa ajili ya kumwachicha mtoto wao shule, wakaniambia kulipa hela laki 8 ambayo waliita ya kukubaliwa kwao (kubisha hodi) na sambamba na hilo wakaomba laki 5 kama kishika uchumba cha mwanao, mwisho wakaomba niwe nampa mama mtoto laki 3 na nusu kila mwezi kwa ajili ya kuleo mtoto na mama kabla sijamuoa. Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu nimefanikiwa kuwapa ngombe, faini ya kubisha hodi na hiyo kishika uchumba.
Tatizo nililo nalo ni kwamba tulikubaliana hiyo ya kulea niitume kwa njia ya benki ili records ziwepo pande zote mbili ila mama mtoto akawa anomba hiyo hela nikawa namtumia kwenye simu yake, sasa yapata kama miezi 7 tangu tukubaliane... nimekuwa nikimtumia kwa njia hiyo na meseji nazitunza.
Juzi ndugu zake wakawa wameanza madai mapya wanataka rist za benki nikawaeleza kuwa nimeshamtumia kwa njia nyingine, wanadai eti hiyo hawaitambui, nikawa meseji za malipo bado hawatambui, ivi ni halali kweli? Nimetuma hela almost kila month bado wanaona sijafanya kitu? Nitawezaje kumtelekeza mtoto wao mm?
Kiukweli niliwaza sana ikabidi cha kwanza nimtoe kabisa hata huyo mama mtoto kwenye mipango ya kumuoa, naona kama familia yake hatutaeleawana maana wanafanya kama biashara sasa, nilichoamua kukifanya ni kutafta namna ya kurudiana na mchumba wangu ambaye nilimsaliti kwa huyu.. ingawa na yeye amekuwa na misimamo mikali huwa hanitaki tena na hatiweza kurudiana.
Ebu wana jamvi tushauliane, niache tu kutoa hizo pesa maana silaha yao kubwa imekuwa ni kunishitak ili nifungwe? Au nifanye nin, imekuwa kero kwangu.
NB: mama mtoto yuko kwa wazazi wake, walimkatalia mpaka nilipe mahari na taratibu zingine zifuate.
Nawatakia weekend njema.
Kama sheria inaruhusu fata taratbu zote chukua mtoto wako pta kushotoHellow Jukwaani...
Kwa mara nyingine ninawasalimia. Wadau nina changamoto kubwa inanisumbua sana. Awali ya yote nipende kumshukru Mungu kwa hapa nilipofika maana bila mapenzi yake isingewezekana.
Nakumbuka niliweka thread humu kuhusu kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha sita na baadaye akajifungua mtoto wa kiume.
Sasa changamoto iliyopo ni baada ya kufika nyumbani kwao ambao walinipiga fine ya ng'ombe watatu majike hii ilikuwa kwa ajili ya kumwachicha mtoto wao shule, wakaniambia kulipa hela laki 8 ambayo waliita ya kukubaliwa kwao (kubisha hodi) na sambamba na hilo wakaomba laki 5 kama kishika uchumba cha mwanao, mwisho wakaomba niwe nampa mama mtoto laki 3 na nusu kila mwezi kwa ajili ya kuleo mtoto na mama kabla sijamuoa. Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu nimefanikiwa kuwapa ngombe, faini ya kubisha hodi na hiyo kishika uchumba.
Tatizo nililo nalo ni kwamba tulikubaliana hiyo ya kulea niitume kwa njia ya benki ili records ziwepo pande zote mbili ila mama mtoto akawa anomba hiyo hela nikawa namtumia kwenye simu yake, sasa yapata kama miezi 7 tangu tukubaliane... nimekuwa nikimtumia kwa njia hiyo na meseji nazitunza.
Juzi ndugu zake wakawa wameanza madai mapya wanataka rist za benki nikawaeleza kuwa nimeshamtumia kwa njia nyingine, wanadai eti hiyo hawaitambui, nikawa meseji za malipo bado hawatambui, ivi ni halali kweli? Nimetuma hela almost kila month bado wanaona sijafanya kitu? Nitawezaje kumtelekeza mtoto wao mm?
Kiukweli niliwaza sana ikabidi cha kwanza nimtoe kabisa hata huyo mama mtoto kwenye mipango ya kumuoa, naona kama familia yake hatutaeleawana maana wanafanya kama biashara sasa, nilichoamua kukifanya ni kutafta namna ya kurudiana na mchumba wangu ambaye nilimsaliti kwa huyu.. ingawa na yeye amekuwa na misimamo mikali huwa hanitaki tena na hatiweza kurudiana.
Ebu wana jamvi tushauliane, niache tu kutoa hizo pesa maana silaha yao kubwa imekuwa ni kunishitak ili nifungwe? Au nifanye nin, imekuwa kero kwangu.
NB: mama mtoto yuko kwa wazazi wake, walimkatalia mpaka nilipe mahari na taratibu zingine zifuate.
Nawatakia weekend njema.
Waachie mtt wao wamuoe wenye umekuwa mstaarabu sana ndio maana wanakufanya mradiHellow Jukwaani...
Kwa mara nyingine ninawasalimia. Wadau nina changamoto kubwa inanisumbua sana. Awali ya yote nipende kumshukru Mungu kwa hapa nilipofika maana bila mapenzi yake isingewezekana.
Nakumbuka niliweka thread humu kuhusu kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha sita na baadaye akajifungua mtoto wa kiume.
Sasa changamoto iliyopo ni baada ya kufika nyumbani kwao ambao walinipiga fine ya ng'ombe watatu majike hii ilikuwa kwa ajili ya kumwachicha mtoto wao shule, wakaniambia kulipa hela laki 8 ambayo waliita ya kukubaliwa kwao (kubisha hodi) na sambamba na hilo wakaomba laki 5 kama kishika uchumba cha mwanao, mwisho wakaomba niwe nampa mama mtoto laki 3 na nusu kila mwezi kwa ajili ya kuleo mtoto na mama kabla sijamuoa. Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu nimefanikiwa kuwapa ngombe, faini ya kubisha hodi na hiyo kishika uchumba.
Tatizo nililo nalo ni kwamba tulikubaliana hiyo ya kulea niitume kwa njia ya benki ili records ziwepo pande zote mbili ila mama mtoto akawa anomba hiyo hela nikawa namtumia kwenye simu yake, sasa yapata kama miezi 7 tangu tukubaliane... nimekuwa nikimtumia kwa njia hiyo na meseji nazitunza.
Juzi ndugu zake wakawa wameanza madai mapya wanataka rist za benki nikawaeleza kuwa nimeshamtumia kwa njia nyingine, wanadai eti hiyo hawaitambui, nikawa meseji za malipo bado hawatambui, ivi ni halali kweli? Nimetuma hela almost kila month bado wanaona sijafanya kitu? Nitawezaje kumtelekeza mtoto wao mm?
Kiukweli niliwaza sana ikabidi cha kwanza nimtoe kabisa hata huyo mama mtoto kwenye mipango ya kumuoa, naona kama familia yake hatutaeleawana maana wanafanya kama biashara sasa, nilichoamua kukifanya ni kutafta namna ya kurudiana na mchumba wangu ambaye nilimsaliti kwa huyu.. ingawa na yeye amekuwa na misimamo mikali huwa hanitaki tena na hatiweza kurudiana.
Ebu wana jamvi tushauliane, niache tu kutoa hizo pesa maana silaha yao kubwa imekuwa ni kunishitak ili nifungwe? Au nifanye nin, imekuwa kero kwangu.
NB: mama mtoto yuko kwa wazazi wake, walimkatalia mpaka nilipe mahari na taratibu zingine zifuate.
Nawatakia weekend njema.
Itakuwa anazila hizo hela halafu bado anawaomba wazazi wake matunzoUlifanya kosa kwa kua makubaliano yalikua utume kupitia bank hapo inaonesha mama alikua anawapiga bao cha kufanya ongea na mama mkwe ndio anajua kwa nini wanasumbua
Watakuwa wakiboshoo haoWachaga bro
Nishakoma... nambembeleza bado maana nampenda sana mtoto wa Kimeru yuleMatokeo ya usaliti kuruka mkojo kukanyaga mavi. Pole
Achana nae.
Kwann usimchukue huyo bint na mtoto wako ukae nao,
Kama sheria inaruhusu fata taratbu zote chukua mtoto wako pta kushoto