Nina 'ashki' ila mke kanuna

Nina 'ashki' ila mke kanuna

establishment

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
1,632
Reaction score
2,450
Wadau,

Nimetoka safari Mwanza nimefika home Arusha mke wangu kanuna hanisemeshi. Nikimuuliza nini tatizo hasemi, nami toka niende safari sijapiga nje (kuogopa magonjwa+KUBANA MATUMIZI) nikijua nikija home nitapewa kipochi manyoya. Nitumie njia gani kupunguza hizi 'ashki'?
 
Wadau nimetoka safari Mwanza nimefika home arusha mke wangu kanuna hanisemeshi. Nikimuuliza nn tatizo hasemi, nami toka niende Safari sijapiga nje (kuogopa magonjwa+KUBANA MaTUMIZi) nikijua nikija home nitapewa kipochi manyoya. Nitumie njia gani kupunguza hizi ash.Ki?
Dah.....mwana cheza pool tu.... same reaction...that's simple
 
Sasa kaamua kununa tu bila sababu? Ulimfanya nini ukiwa safarini au kabla ya kuondoka? Leo anaweza kulala na chupi nne na jeans. Pole sana vumilia tu labda kesho anaweza akabadili kununa kwake na kukupa mchezo. Inabidi ulale tu Mkuu badala ya kuendelea kuwaza papuchi. Usiku unaweza kuwa mrefu sana huu na usilale vizuri kutokana na kuzidiwa na genye.

Nna hamu usipime
 
Back
Top Bottom