Nina amazing Advice propasal kwa mitandao, na sijui nifanye nini!

Secret Star

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,726
1,685
Ndugu zangu habari, nina tatizo hapa, kama lilivyokaririwa kwenye kichwa cha habari hapo juu,

Kuna wazo zuri la kipekee ninalo ila nashindwa kuelewa nifanye nini ili kuliwasilisha kunakohusika, hali yangu ya Uchumi ni ya kawaida, hivyo nahofia kulifikisha wazo hili wa wanasheria, wakanitajia pesa nyingi za kulimodify na nikawa sina, wakaniibia wazo.

Naombeni ushauri wenu nitumie njia gani ili kulifanyia kazi hili wazo langu vyema kwa usalama na lisiibiwe......
 
Jaribu kuomba mkopo bank wanaweza kukusaidia ila kama huna collateral basi itakuwa ngumu kupata mkopo.
 
In case of Mwanasheria au yeyote unayeona anafiti katika wazo lako washirikishe ili na wao wawe sehemu ya wazo lakini kwa Makubaliano ya kugawana kwa hisa,ila iwe rahisi wao kumodify au kuchangia sehemu yao pale wewe uliposhindwa au kuhitaji msaada wao,mwisho wote muwe ndio wenye kumiliki wazo lakini wewe utakuwa na share kubwa,hakikisha msizidi au kupungua watatu kutoka na Mahitaji.
 
In case of Mwanasheria au yeyote unayeona anafiti katika wazo lako washirikishe ili na wao wawe sehemu ya wazo lakini kwa Makubaliano ya kugawana kwa hisa,ila iwe rahisi wao kumodify au kuchangia sehemu yao pale wewe uliposhindwa au kuhitaji msaada wao,mwisho wote muwe ndio wenye kumiliki wazo lakini wewe utakuwa na share kubwa,hakikisha msizidi au kupungua watatu kutoka na Mahitaji.
Asante nitashughulikia hili
 
Back
Top Bottom