Nina allergy na mademu weupe

Nina allergy na mademu weupe

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,708
Reaction score
8,746
Mpaka sasa nimeshachakata mademu zaidi ya Zhong Tong 3

Lakini wengi wao ni wale black beauties.

Nikiwa na demu mweupe nakuwa na mzuka nae kwa wiki kadhaa lakini baada ya muda taratibuu naanza kupoteza hisia nae na ananitoka kabisa moyoni.

Mwezi wa 9 nlipata mtoto Mkali Sana mweupe wa kinyiramba lakini tangu mwezi huu umeanza sina mzuka naye na nishamwambia simtaki.

Kwangu demu mweupe namwona wa baridi tu hanipi mzuka wowote.

End of thread.
 
Ndio mana wajane wengi ni wanawake weupe wanawa resti in pisi wanaume zao
kweli mkuu na usiombe awe mweupe afu nyuma kafungasha mbona kila baada ya hatua 5 anakutana na mshale sasa jiulize ataweza kukwepa mishale yote kila siku?
Ukitaka ndoa yako idumu wewe jinyakulie tu maji ya kunde, ila ukutaka idumu haswa chukua mweusi kama chungu cha wajaluo afu awe flat mbna utaenjoy maisha.
Kwanza hata akisimamishwa huna wasiwasi
 
Kabisa mkuu nakumbuka baba yangu mdogo aliwai kuniasa juu ya hawa wanawake waeupe waliofungasha ni matatizo sana wanaweza kukusababishia kufa na presha
kweli mkuu na usiombe awe mweupe afu nyuma kafungasha mbona kila baada ya hatua 5 anakutana na mshale sasa jiulize ataweza kukwepa mishale yote kila siku?
Ukitaka ndoa yako idumu wewe jinyakulie tu maji ya kunde, ila ukutaka idumu haswa chukua mweusi kama chungu cha wajaluo afu awe flat mbna utaenjoy maisha.
Kwanza hata akisimamishwa huna wasiwasi
 
Back
Top Bottom