City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Kwa siku unalipua mabomu mangapi
Nahis umeshaona the cost of change and I m dedicated to make some changes ndo maana nimekuja apaUnajiambia kuwa huwezi kuacha?!
Labda niulize kwa nini unataka kuacha?
"changes will come when the cost of staying the same exceeds the cost to change"
Daahh tenaYakikushinda angalia tu,na kama hazikutoshi njoo nikutumie zingine.nadhani ni ngumu kuangalia kuliko kuacha.
Variable....mengi mengi tuKwa siku unalipua mabomu mangapi
Nahis umeshaona the cost of change and I m dedicated to make some changes ndo maana nimekuja apa
Sisi na wao ni nani kwani wanaoangalia sana hayo mambo?Aalfu mkulu wa nchi anasema hatuwataki wamarekani watutawale, kwa mawazo haya kweli wazungu wataacha kututawala kweli??
NdioMkuu samahani, hivi ni wewe kwa hiyo avatar?
Yapi Mkuu naomba ushauri aiseeAalfu mkulu wa nchi anasema hatuwataki wamarekani watutawale, kwa mawazo haya kweli wazungu wataacha kututawala kweli??