Nina 7M net nataka gari yenye sifa hizi

Nina 7M net nataka gari yenye sifa hizi

Wakuu nataka gari yenye sifa hizi
Haiconsume sana mafuta,
Isiwe chini maana nakaa milimani Lushoto,
na km kuna namna kwa hiyo hela naweza kuagiza nje.
Ahsanteni

Nakushauri nunua Rav4 old model, kwa 7M unaweza kupata used, usiwe na haraka tafuta gari ambayo haijatumika sana, wahindi ni maarufu kwa kuuza gari zenye hali nzuri utakuta gari namba A lakini utafikiri imeingia mwezi uliopita, pia hawavushi service (wabongo makini pia wapo, tatizo safari za mikoa). Pia unaweza kuopt gari ndogo zaidi kama Passo, IST au hata KEI kwa ajili ya fuel economy, tatizo hizo gari ndogo sana hazina nguvu na hazitaki shurba, sehem ya barabara mbovu hautadumu nayo. Japan kwa 7M labda paso au KEI unapata mpya.
 
toyota marino namba a milion nne tu maongez yapo 0712505049
 
Ninayo ebu piga simu namba 0756653128 kwa maelezo zaidi gari ipo vzr sanaa
 
Hiyo pesa yako nenda kafungue duka la spare za bodaboda ndani ya miezi sita utakuwa na milioni kumi na mbili kisha uende kuagiza subaru beforward, hizo milioni saba utaishia kupata gari za kuendesha watoto na hata ukipata za wakubwa zitakuwa mbovu mbovu tu
 
Back
Top Bottom