Nimwacheje bila kumuumiza?

Nimwacheje bila kumuumiza?

ABINALA

Senior Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
134
Reaction score
55
Nimepata mpenzi wa kike JF,na tumeahidiana mengi ,baada ya kuonana sijampenda.Nifanyaje kumuacha bila kumuumiza?
 
yaan mlihaidiana meng kabla ya kuonana! Hapo ndo kosa lilipoanzia. Btw mwambie hujaridhka nae atakuelewa kama muelewa kwan mapenz ni lazma kila mtu aridhke na mwenzake vingnevyo mtaishi kwa mapenz ya kupretend na haitachkua mda mtapgana chni
 
Una miaka mingapi?

Nimekuuliza hivyo sababu post yako ni ya kitoto.Hutaki kumuumiza halafu unaweka hilo swala humu JF ambapo na yeye yupo,kwa maana nyingine tayari amesha soma na kujua hivyo ameumia.

Maliza kwanza masomo
 
Ndo ushamuacha ..atasoma hii thread ataelewa
 
Unaahidianaje mengi na mtu ambaye hujamuona? Ukisikia ufyatu ndio huu.
 
Heheeeee........ Yaani mnapanga mambo mengi wakati hata hamjaonana..!

Usije ukarudia hilo kosa ndugu yangu..!
 
Nimepata mpenzi wa kike JF,na tumeahidiana mengi ,baada ya kuonana sijampenda.Nifanyaje kumuacha bila kumuumiza?

Wewe kilaza unajaza server.Hi guys I have a suggestion.I hope one of the moderators sees this
 
tehe tehe tehe JF oyeeeeeeeeeee so mlihaidiana mengi thru PM,atakuwa kashaona ulichoandika na atakuwa anaumia sasa ivi
 
Ujinga huo huwezi mkapanga maisha hamjuani au sauti imekuzingua?
 
mass media zimevuruga utaratibu wa kutongozana ana kwa ana
 
We unajuaje ukimwacha ataumia? Usikute naye anawaza atakuachaje bila kukuumiza!!
 
Back
Top Bottom