Nimuombe vipi msamaha anielewe?

Nimuombe vipi msamaha anielewe?

Ninyi WATOTO huwa munatusumbua saana HUMU mitandaoni kweli ww hujui MTU akikuchoka anafanya nn? watu tunawaza sasa nchi hii inaendaje ww unaleta habari za kwich kwich hapa.
 
Never lie to someone who trusts you, and never trust
someone who lies to you.
 
Mkuu hapo huna chako. Bidada ashawekeza mapenzi yake kwa kidume kingine. Inaonekana anashindwa kukupa ukweli. Ulikosea sana kumtelekeza kipindi chote hicho. Chukulia hayo ni mafunzo kwako. Endelea na maisha yako na yeye muache awe huru kwa alichokichagua. Usilazimishe. Utaumiza hisia zako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom