Nimuombe vipi msamaha anielewe?

Nimuombe vipi msamaha anielewe?

emmasoy

Member
Joined
Jun 5, 2016
Posts
15
Reaction score
2
Nina mwanamke wangu tulikosana na tukakaa bila mawasiliano kwa muda wa miezi takribani kumi. Kwa sasa namwomba msamaha anasema hataki mwanaume na hana sababu inamfanya kukataa kunisamehe au kufanya tusirudiane.

Nikimpigia simu mara apokee mara aseme tuchati lakini nikimtxt hajibu sms zangu na kusema nimwache namsumbua.Alikua ananipenda sana pia mm vivyohivyo ila tulikosana bahati mbaya.

Nifanyaje ili anielewe nampenda bado?
 
Mkuu kuomba msamaha ni kitendo cha uungwana kabisa(NIKUPONGEZE KWA HILO), pia jinsi ya kuomba msamaha inategemea na aina ya kosa. Cha kufanya usimtafute hewani,,,,nenda physically!!! pili kama aliwahi kuwa lover wako itakuwa rahisi sana kusamehewa. Kingine uwe na confidence interact naye as if hamjaachana, kwa kila kitu mtreat kama bado mpo pamoja, hii itasaidia kumrudisha kumbukumbu nzuri na ghafla atataka kurudisha hisia za zamani....Hawa watu ni more emotional so wakati mwingine care ni muhimu.
 
miez kumi mingi sema ulimkosea nini, kama alikufumania, kula zako hachana nae, ila ndani ya miezi kumi jua lazima ana kidume kina mgegeda tu.
 
Mie kumi umekaa kmy af unaenda kuomba tena msamahaa me nkajua huo mda wote ulikua unamuomba msamaha
 
Too close to be away, with a lot to talk & no words to
say, loving you in a silent way, you are not here but
your presence always makes me wanna stay !! I
wish you were here
 
Mkuu kuomba msamaha ni kitendo cha uungwana kabisa(NIKUPONGEZE KWA HILO), pia jinsi ya kuomba msamaha inategemea na aina ya kosa. Cha kufanya usimtafute hewani,,,,nenda physically!!! pili kama aliwahi kuwa lover wako itakuwa rahisi sana kusamehewa. Kingine uwe na confidence interact naye as if hamjaachana, kwa kila kitu mtreat kama bado mpo pamoja, hii itasaidia kumrudisha kumbukumbu nzuri na ghafla atataka kurudisha hisia za zamani....Hawa watu ni more emotional so wakati mwingine care ni muhimu.
Anatakiwa amjali kwa namna awezavyo
 
Du ka nakufaham October ndo ulizingua so ulikoenda pamekuchosha umeamua kurudi kwake aisee toroka urudi ndo wewe. Na maswahiba wako umewatumia kisa unajua anapatana nae. Hahahahaah mmoja alibaki anakula kumliwaza shemeji. Kazana sana kuwatuma watu wake wa nguvu.
 
1469344295212.jpg
 
Miezi 10 bila kuongea au kuwasiliana nae alaf unategemea mrudiane kirahisi. Tafuta mwingine,kipnd cha kuomba msamaha kishapita.
 
Miezi kumi yote hiyo anakutunziaga wewe tu?? Msiwe na tabia ya kutishia kujamba wakati unajua tumbo linakusumbua.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom