ESPIRIT
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 665
- 524
Ndugu wana JF, mimi nina miaka 27, nimeingia kwenye mahusiano na wasichana watatu. STD7, chuo na wa cheti. Hawa wametokea kunipenda,.
Muda wa kuoa umefika, nachanganyikiwa nimuoe yupi. Huyu std7 ana akili ya maisha, huwezi kumsikia akiniomba hata vocha. Ni mm naamua kumtumia. Hofu yangu je, mimi nina mastaz ya elimu.
Je,tutaendana ?
Muda wa kuoa umefika, nachanganyikiwa nimuoe yupi. Huyu std7 ana akili ya maisha, huwezi kumsikia akiniomba hata vocha. Ni mm naamua kumtumia. Hofu yangu je, mimi nina mastaz ya elimu.
Je,tutaendana ?