Nimuoe yupi kati ya hawa?

Nimuoe yupi kati ya hawa?

babu yangu alikua katibu mkuu ujenzi
alimuoa bibi hajui kusoma wa la kuandika baada ya ndoa akampeleka shule
hadi sasa bibi angu yuko wizara ya ujenzi japo babu amesha fariki.hvyo kama umempenda hoyo wa std7 muoe asiangalie unakiwango gani cha elimu .
 
Ndugu wana JF, mimi nina miaka 27, nimeingia kwenye mahusiano na wasichana watatu. STD7, chuo na wa cheti. Hawa wametokea kunipenda,.

Muda wa kuoa umefika, nachanganyikiwa nimuoe yupi. Huyu std7 ana akili ya maisha, huwezi kumsikia akiniomba hata vocha. Ni mm naamua kumtumia. Hofu yangu je, mimi nina mastaz ya elimu.

Je,tutaendana ?

kuendana kivipi? kiakili, kiumri au kiuonekano......???
 
Wew ndo huwafai hata mmoja huna sifa za kuwa mume mwema
 
Kwani wewe vipao mbele vyako ni vipi katika swala hilo, then utajua yupi anafaaa​
 
Ndugu wana JF, mimi nina miaka 27, nimeingia kwenye mahusiano na wasichana watatu. STD7, chuo na wa cheti. Hawa wametokea kunipenda,.

Muda wa kuoa umefika, nachanganyikiwa nimuoe yupi. Huyu std7 ana akili ya maisha, huwezi kumsikia akiniomba hata vocha. Ni mm naamua kumtumia. Hofu yangu je, mimi nina mastaz ya elimu.

Je,tutaendana ?
Hali yako inafanana na ya kaka yangu. Ni daktari na ameoa ex std7, mama mchakarikaji mno kwenye biashara na deal za ukweli kiasi wameweza kujenga nyumba tatu na kununua magari kibao. Hata hivyo kakangu analalamika kuwa yapo matatizo yatokanayo na kutoendana lakini anasema amejitahidi kuyavumilia na ameweza. Mojawapo ni wanapokuwa nyumbani wakijipumzisha baada ya kazi. Kaka kajiunganishia dstv na anapenda sana channel za science.Siku ya alhamis usiku, nyumbani hapakaliki, mama anataka aone Futuhi ya startv na kaka hana habari na hiyo kitu.

Mleta mada namshauri amchukue huyo wa darasa la saba anayejua kupambana na maisha ila kwa kweli masters haiendani na std 7, hivyo ajiandae kuvumilia mengi ya kutoendana.
 
unamaanisha nini ukisema wa chuo na wa cheti?oa umpendae
 
Kama una mastaz badala ya Masters oa la STD 7. Ha ha ha..
 
Chukua wa STD seven mkuu provided unamkubali nae anakukubali, mambo mengine hayo ya "kuendana kielimu" nadhani hamtoshindana kwenye madesa.
 
Mchukue wa Std 7 halafu agombee ubunge mwakani.
 
Back
Top Bottom