Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Sijaelewa hapo. Ina mana ulipokuwa sekondari uliweza kumfanyia mpango huyo mpenzi wako na kumsomesha? Au ni wazazi wako ndo waliwasomesha we na mpenzi wako? Ufafanuzi hapo plz mkuu!
Angalia sasa usimdandiedandie ukamjaza tena ukamharibia malengo yake ya kuongeza elimu ili apunguze gap kati yako naye.<br />
<br />
nimempeleka shule mwenyewe ili kupunguza gape la kielimu pia sikua na mpango wa kuoa baada ya kumpa mimba hivyo nilitaka aendelee jupunguza vidato katika safari ya kuelekea kuoana bahati nzuri ni mzima kichwani
Dada kwa maana anamuingilia sio amuoe yeyeKhaa sasa dada yako wa nini wakati tayari una mtu wako? angalia nafsi yako inavyokutuma kama umeridhia kuwa naye huyo mtu wako na unaona kwa uchunguzi wako anafaa basi endeleaaaaaaa
kuna usemi wa kiingereza usemao ASK YOUR HEART BEFORE U TELL HIM/HER GOODBYE usemi huu unanipa wakati mgumu sana katika kufanya maamuzi magumu.Naombeni ushauri juu ya hili lifuatalo:mwaka 2005 niliingia kwny mahusiano na binti wa kihehe yaliyopelekea yeye kupata ujauzito baada ya miezi 5.2006 nijiunga kidato cha tano mbeya hadi 2008 nilipohimu f 6. Baadaye nilimfanyia mpango wa kurudia shule ambapo arudia drs7 na kufaulu vzr kwenda sekondary.2008 nilijiunga na chuo kikuu na hadi kufikia mwaka wa pili wa masomo mambo yalikua shwari.Baada ya hapo nilianza kupokea simu kutoka kwa dada zangu zikishusha tuhuma nzito zinazohusu wifi yao baada ya kurudi kutoka chuo nimefanya uchunguzi na kugundua si za kweli na zinalenga kutusambaratisha.Mmoja nikamtania juu ya adhima ya kubariki ndoa mwakani akasema nikimwoa atajing'ata kidole hadi kikatike ila wazazi wanamkubali sana kiasi cha kumlipia hata michango ya shule.Nifanye nn juu ya hawa