Nimuoe anayenipenda au ninayempenda?

Nimuoe anayenipenda au ninayempenda?

Uyo dogo ndezi ..unashindwaje kutengua equation ndogo kama iyo..yule mwenye hela na anataka ndoa aolewe uyo mwingine aendelee kupigwa pipe mpaka akil imkae vizur..mapenz na vitoto vya chuo ni ujinga tu..apige pipe wote mpaka afike 30 ndio ataelewa aende wap
Asante
 
Aoe anapopendwa.B yupo vzr kuliko A na huyu A akipata visenti anaweza kumkimbia coz hayuko tayari kuolewa kwa sasa means hajajua ataolewa na nani.
Kipindi walipozinguana A qlipata jamaa mwingine
kwakuwa B yuko tayari kuchangia mahari nafikiri 900 itapendeza sana.
 
Aoe anapopendwa.B yupo vzr kuliko A na huyu A akipata visenti anaweza kumkimbia coz hayuko tayari kuolewa kwa sasa means hajajua ataolewa na nani.
Kipindi walipozinguana A qlipata jamaa mwingine
kwakuwa B yuko tayari kuchangia mahari nafikiri 900 itapendeza sana.
mia 9 itapendeza
 
Tabia za kipumbavu kumchambua chambua binadamu kama unachagua nyanya sokoni
 
Huyo A anamtumia huyo kaka wakati akaingalia.ya mbeleni. Kile kitendo cha kuachana na sasa amerudi.hakina nia nzuri.
 
Aise,ukianza kuandaa thesis proposal hautaweza kuoa kamwe.Amua sasa."Kama Sura hata mbuzi anayo lakini wo wo wooo....!"
 
Hapo B ndo best , kwanza ana utayari , pili anajimudu kiuchumi , tatu ni jasiri kwa kuamua kuanzisha brand yake na kuendesha life yake na sio kutegemea white colar jobs , tatu anakupenda sana na amejitoa kwa aajili yako , nne unajua kila kitu kuhusu undani wake , tano mpende akupendae asiyekupenda achana naye
 
Back
Top Bottom