Nimuoe anayenipenda au ninayempenda?

Nimuoe anayenipenda au ninayempenda?

B anafaa zaidi. Huyo A atamwacha jamaa solemba. Historia inaonesha alishawahi kumzingua na kupotezea katika mawasiliano. Pia hajaamua badop lini yupo tayari kuolewa. Ni ushgauri tu! lakini ningekuwa mimi ningemchukua B fasta.
asante
 
Ndoa siokupenda au kupendwa ni kupendana maana ukipenda inaezekana ye asikupende na akikupenda ndo hivyo we hujampenda hio ndoa lazima iwe na shida maana mmoja hatajali hisia za mwenzie
sasa mbona ni balaa
 
Tutakupa ushauri, mawazo, uzoefu n.k, lakini mwisho wa siku wewe ndiye utafanya maamuzi.

Sikiliza silika yako (listen to your instincts), hata siku moja haidanganyi. Fanya maamuzi sahihi.

Love Does.
kweli mkuu
 
Uyo dogo ndezi ..unashindwaje kutengua equation ndogo kama iyo..yule mwenye hela na anataka ndoa aolewe uyo mwingine aendelee kupigwa pipe mpaka akil imkae vizur..mapenz na vitoto vya chuo ni ujinga tu..apige pipe wote mpaka afike 30 ndio ataelewa aende wap
 
Huyo ambaye hayuko tayari kuolewa sasa na Hajui atakuwa lini tayari!??!?!?! Nahisi ampe jamaa ufafanuzi wa Why?

Huyu B aliyeDisco Mwaka wa Kwanza Pharmacy, Atow sababu why aliDisco????
Maana mmmh!

Nitarudi kuendelea.
Ahahaha atakwambia kamuulize lecturer
 
oa anayekupenda kwa sababu huyo unayempenda ww nae kuna anayempenda
 
B ndo anafaa ila naona huyo mkaka atamtesa sana B maana ataendelea kuchepuka kwa A

Note: natamani B asome comment yangu.

B, popote ulipo mungu ni kwema, nakuomba uachane na huyo mkaka maana mungu anakuletea chaguo lako

B, popote ulipo huyo mkaka sio hadhi ya upendo wako.achana nae atalizwa kama mini akirudi kwako akute nafasi uko full.

Mwaka kesho June mleta Uzi tuletee mrejesho wa A kumliza huyo mkaka
 
Huyo jamaa nae vipi mbona jibu liko wazi kabisa?!







Siamini kwa ME kama ni lazima sana kuoa KE unaempenda bali kama huyo binti kafa kaoza juu yako unasubiri nini?







Kwanza huyo binti 'A' kashapata bwana mwingine ndo maana anamuwekea usiku mchizi..
 
Back
Top Bottom