Heloo wana jamii,nimekuja humu kuomba ushauri na busara zenu.Mie naishi ughaibuni na wife(mbongo pia) na watoto wawili, m/mungu kanijaalia kazi poa na elimu ya juu tatizo huyu mwenzangu hatuelewani yaani ni mbishani, mshindani, lawama kila siku, hana msaada hata wa mawazo, kutoa mambo ya ndani nje kwa saana. Nishagundua hatuwezi kuishi pamoja kwani sina raha.
Tatizo siwezi kumwambia atoke kwani huku mwanamke hafukuzwi hata kama nyumba ya mwaname, sina pa kumpeleka na hata nikitaka kutoka itabidi niendelee kulipia hii nyumba na sina uwezo wa kulipia nyumba mbili pia nikimuachia nyumba anaweza kuleta mabwana wakati mi ndio mlipaji. Nimechanganyikiwa napenda wanangu na niko tayari kuwasupport kwa kila hali, lakini huyu mwanamke sina haja nae. Nifanyeje?
Naomba ushauri
Tatizo siwezi kumwambia atoke kwani huku mwanamke hafukuzwi hata kama nyumba ya mwaname, sina pa kumpeleka na hata nikitaka kutoka itabidi niendelee kulipia hii nyumba na sina uwezo wa kulipia nyumba mbili pia nikimuachia nyumba anaweza kuleta mabwana wakati mi ndio mlipaji. Nimechanganyikiwa napenda wanangu na niko tayari kuwasupport kwa kila hali, lakini huyu mwanamke sina haja nae. Nifanyeje?
Naomba ushauri