Nimuachaje D?

Nimuachaje D?

Do you mean M falsifies?
Reading between the lines, it look like you did not read the first paragraph between the lines.

M hajui chochote kuhusu D
What I mean is when you have only one plate to use you getti know all it’s flowers
 
Mkuu dalili zinaonesha D is the real deal

M kwa sasa ameuteka moyo wako kwa sababu siku zote kipya ni kinyemi (hapa wanaume wenzangu watanielewa kuhusu mzuka wa dem mpya)

Nakuhakikishia ukiisha achana na D, ukabaki na M akitokea S pia utaona ana sifa zote za D jumlisha sifa nyingine za ziada

Sababu za kumuacha zipo nyingi tu endapo unataka kumuacha mwenza. Unaweza hata mwambia uliwaeleza Wazazi wako kuhusu yeye, Wazazi wakakataa kabisa usije oa mtu wa kabila lao (necessary lie)

Hii itamuokoa mdada wa watu ambaye ni very innocent, na wewe ambaye kwa sasa unajiona kama upo gerezani

Lakini kuwa makini usije juta baadae kwa kumuacha Doris sijui Debora


Umenifumbua macho, kuna wazo zuri nimelipata, she is muslim ... am christian, nimepata pa kuanzia... lakini pia..

Umeniacha mdomo wazi, kuna jina umelitaja hapo juu, ni jina M, jina lake la pili ingawa huwa alitumiki sana zaidi ya hilo linaloanzia na M

It seems yo too smart bro!
 
fuata moyo wako ila kumbuka you have been in relation to M kwa mda mfupi af unamsifia et anatabia nzuri aisee chariii angu tabia ya mtu aisomwi kwa mwaka au miezi utaula wa chuya mimi hapo D naona yuko pouw kwako hata kama umuhitaji ila sawa coz wataalamu wa hayo mambo wanasema usikubali kuoa mwanamke eti kisa umezaa nae au umekuwa nae kwa mda mrefu oa yule ambaye umemridhia mwenyewe

Nimekuelewa mkuu.. asante kwa ushauri
 
Ndio shida ya kuomba ushauri kwa watu, binadamu tumeumbwa na moyo wa huruma. Naona karibu wote wamekushauri ubaki na D sababu ya huruma ambayo binadamu kaumbwa nayo bila kuangalia furaha yako

Nikwambie kitu kimoja na pengine hata wengine pia wakitilie maanani, mambo yote tunayofanya katika kupambana na maisha mwisho wa siku jambo la msingi ni "kuwa na furaha". Katika kuifikia hiyo furaha lazima upitie magumu hivyo Mimi sioni sababu ya kuogopa wewe kumuacha D na kuwa na M sababu M Ndio furaha yako, ukija kubwagwa na M sababu ya masikitiko ya D Hiyo ni sehemu ya mapito ya kufikia kwenye furaha yako.

Achana na mambo ya karma sijui masikito furaha yako Ndio kitu cha kwanza. Muache D kwa amani aende zake kamata M upate furaha.

NB: Ukiendelea na D utamuumiza zaidi kuliko ukimuacha sababu moyo wako na fikira zako zimesha hama hazipo tena kwake hivyo utaishia kumtesa tu

Wewe ni miongoni mwa watu uliyejitahidi kuijengea picha hii situation niliyonayo, na picha uliyoijenga ina usahihi mkubwa maana sijaweza kuandika kila kitu, nimelifupisha mno hili bandiko, lakini umeweza kusoma yasiyoandikwa.

Let's time not fool us, someone you knew in last 3 days, can be more important to your life than someone you knew in last last 3 years.

Nalichukua neno lako mkuu..! xfactor
 
Kuwa makini unaweza wapoteza wote hivi nyie wakaka ka huna future na mtu siunamwambia mapema kuliko kumpotezea Dada wa watu mda, huyo D wa watu anza kupunguza mazoea naye taratibu ili umuache kwa Amani maana hujui yajayo, na huyo M kuwa makini jinsi unavompenda sana ndo atakuja kukuumiza sana mpaka ukajutraa, jifunze kutokuumiza hisia za watu wengine
 
Mwache mdada wa watu bila kumuumiza na Fanya kitu roho yako unapenda na sio kufanya mahusiano ka huruma utaumia mbeleni
 
mkuu mbona kama D ana element za M,

Unajua watu dizaini ya D huwaga ni walokole sana yani yy a nakupenda na Always anapenda uwe naye tuu asiwe mpweke na Always huwa submisive sana mpaka unashangaa katoka dunia hii au, na huwa wacha MUNGU balaa, But kosa kwa wanaume ni huwanga tunakuwanga mguu moja ndani kuhusu hawa wadada......

*Mkuu ukimpelekea hili swali mlezi au mzazi wako yani D ana nafasi kubwa kachaguliwa kuwa mke wako
 
Kuwa makini unaweza wapoteza wote hivi nyie wakaka ka huna future na mtu siunamwambia mapema kuliko kumpotezea Dada wa watu mda, huyo D wa watu anza kupunguza mazoea naye taratibu ili umuache kwa Amani maana hujui yajayo, na huyo M kuwa makini jinsi unavompenda sana ndo atakuja kukuumiza sana mpaka ukajutraa, jifunze kutokuumiza hisia za watu wengine

Hili ndio lengo langu; Kutompotezea muda wake + Kutoumiza hisia zake
 
Hili ndio lengo langu; Kutompotezea muda wake + Kutoumiza hisia zake
Ila umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be careful
 
Ila umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be careful

Sioni sababu ya kujulisha M suala la D. It is more safe kulimaliza hili kimyakimya.
 
Ila umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be careful
Umeona mbali cariha
 
Sioni sababu ya kujulisha M suala la D. It is more safe kulimaliza hili kimyakimya.
Itakuja kula kwako maana hutajua D kapata taarifa saa ngapi na jinsi anavojitoa kwako atamtafta M kuna watu nawajua yaliwatokea ka yako mwisho kakosa yote kwahyo kumuandaa M kisaikolojia muhimu. Mficha maradhi pia inaonyesha hao wote wawatamani huna msimamo amua moja au huyo M uzuri umekuzuzua. Tena wakijua unawaxhaganya wewe utalia mno
 
Back
Top Bottom