Nimuachaje D?

Nimuachaje D?

Karma is a bitch it will fu,,,,ck u usimuache D
 
Hizo ndo laana za kujitakia mkuu, ukimwacha D ataishia kuhuzunika na kulia moyoni mwake haya hayo mahusiano yako na M yatakuwa ni mbaya tofauti na unavyofikiria, tabia nyingine ni karibu mgeni, stay na D wako
 
Miaka ya 2000 hyo tayari ngoma kama ya soggy dog ila mkuu usiwasahau wahenga walisema usiache mbachao kwa msaala upitao huyo m kama sina imani nae chukua d weka ndani acha ujinga
 
Naomba namba za D tafadhali .. dada yangu amevutiwa na tabia yake"... anataka kumtumia hela ya kusuka
 
Back
Top Bottom