Carlssin
Member
- Oct 22, 2017
- 44
- 70
Greetings!
Nina-date wasichana wawili, lakini mmoja(let me call her M) nampenda sana kuliko mwingine (let me call her D). Japokuwa D ndio nilianza kuwa naye kabla ya M, sipo tayari kumpoteza M kabisa, na pia sitaki kuwa-date wote wawili at a time. Kwa sababu za kimazingira... kuna hatari kubwa ya M kuja kugundua kuwa nina mahusiano na mtu mwingine, na hilo litakuwa ni doa kubwa sana ambalo I'm pretty sure! ndio utakuwa mwisho wetu, me and M.
Kabla ya D
Sikuwa na msichana ninaye-date naye, na sikuwa nahitaji mahusiano kabisa huo wakati. Nilifahamiana naye kama rafiki na pia jirani yangu. Mazoea yazidi pale nilipogundua kuwa ni shabiki mwenzangu wa Real Madrid na Man Utd, tulikuwa na mengi ya kuzungumza tulipopata wasaa wa kuwa pamoja. Mazoea yalizidi mara dufu kiasi kwamba tukawa tunachat hadi usiku wa manane. (To recap the story) Tuliishia kuwa wapenzi bila hata kumtongoza.
Me && D
Kama kwa ufupi nilivyowasimulia mazingira yaliyotuingiza kwenye mahusiano, D baada ya kuwa na mimi, aliniona mimi ndiye ninayemfaa na akaamua ku-break up na boyfriend wake (kwa mujibu wake: alidai kuwa uhusiano wao ulikuwa unayumba sana wakati huo). Tofauti na nilivyomtarajia, hajawahi kuniomba pesa hata ya vocha, lakini nikiona anauhitaji, na kama ninayo, huwa namtumia na huwa anashukuru sana. Pili, huwa anajitahidi sana kuwa honest and faithful kwangu. Kiufupi, D amekuwa msichana mwema kwangu, na tuna mwaka sasa hatujawahi kugombana kabisa katika huu uhusiano wetu. D anatumaini kubwa sana la kuja kuolewa na mimi hapo baadae. Tofauti na D, deep down my heart, mimi sipo serious kwenye haya mahusiano kama ilivyo kwa upande wake.
Me && M
Nikiwa nina-date na D... M, fully won my attention, nilijitoa kwa kila kitu kuhakikisha namuweka kwenye ngome yangu, nilimtongoza almost mwezi mzima kabla ya kunikubalia. Ana sifa zote mbili za D ( nilizotaja aya ya hapo juu ), na ana sifa za ziada pia. Tatu, M, ni mcha Mungu sana huyu binti na ana upendo sana kwa watu hata asiowajua. Nne, she is so intelligent enough to challenge me frequently. Fifthy and last, uzuri wa muonekano wake ni zaidi ya D. She kills me in all angles. All in all, me & M, tunaishi vizuri sana, tuna malengo makubwa sana, na baadhi tushaanza kuyatekeleza.
My Problem
Kwa hali iliyopo sasa, D ni msichana ambaye kiukweli anahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuwa naye kwa malengo ya muda mrefu, anahitaji kupendwa sana, maana ni aina ya wale wasichana ambao kwa sasa wanazidi kutoweka hapa nchini. Lakini mimi nimependa kwingine na sitaki kumpotezea muda wake akiwa anategemea kuja kuishi na mimi hapo baadae.
Tangu nilipoingia uhusiano na M, nimekuwa nikisubiri sana D anikosee kosa lolote dogo, ili iwe nafasi ya kuachana naye, lakini wapi! hakuna anachonikosea. Unfortunately, huwa nakosa ule moyo wakumuacha ghafla bin vuu, maana najua madhara yatakuwa ni makubwa sana kwa upande wake, may be na mimi pia.
Nataka hili tatizo litatuke haraka sana, kabla M hajagundua, sitaki liende taratibu maana naweza kumkosa ninayempenda sana, maana muda unavyozidi kwenda ndio naona ukuta unaotenganisha haya mahusiano mawili unazidi kubomoka.
Nimuachaje D?
Asante kwa kuvumilia taaluma yangu dogo ya uandishi.
Nina-date wasichana wawili, lakini mmoja(let me call her M) nampenda sana kuliko mwingine (let me call her D). Japokuwa D ndio nilianza kuwa naye kabla ya M, sipo tayari kumpoteza M kabisa, na pia sitaki kuwa-date wote wawili at a time. Kwa sababu za kimazingira... kuna hatari kubwa ya M kuja kugundua kuwa nina mahusiano na mtu mwingine, na hilo litakuwa ni doa kubwa sana ambalo I'm pretty sure! ndio utakuwa mwisho wetu, me and M.
Kabla ya D
Sikuwa na msichana ninaye-date naye, na sikuwa nahitaji mahusiano kabisa huo wakati. Nilifahamiana naye kama rafiki na pia jirani yangu. Mazoea yazidi pale nilipogundua kuwa ni shabiki mwenzangu wa Real Madrid na Man Utd, tulikuwa na mengi ya kuzungumza tulipopata wasaa wa kuwa pamoja. Mazoea yalizidi mara dufu kiasi kwamba tukawa tunachat hadi usiku wa manane. (To recap the story) Tuliishia kuwa wapenzi bila hata kumtongoza.
Me && D
Kama kwa ufupi nilivyowasimulia mazingira yaliyotuingiza kwenye mahusiano, D baada ya kuwa na mimi, aliniona mimi ndiye ninayemfaa na akaamua ku-break up na boyfriend wake (kwa mujibu wake: alidai kuwa uhusiano wao ulikuwa unayumba sana wakati huo). Tofauti na nilivyomtarajia, hajawahi kuniomba pesa hata ya vocha, lakini nikiona anauhitaji, na kama ninayo, huwa namtumia na huwa anashukuru sana. Pili, huwa anajitahidi sana kuwa honest and faithful kwangu. Kiufupi, D amekuwa msichana mwema kwangu, na tuna mwaka sasa hatujawahi kugombana kabisa katika huu uhusiano wetu. D anatumaini kubwa sana la kuja kuolewa na mimi hapo baadae. Tofauti na D, deep down my heart, mimi sipo serious kwenye haya mahusiano kama ilivyo kwa upande wake.
Me && M
Nikiwa nina-date na D... M, fully won my attention, nilijitoa kwa kila kitu kuhakikisha namuweka kwenye ngome yangu, nilimtongoza almost mwezi mzima kabla ya kunikubalia. Ana sifa zote mbili za D ( nilizotaja aya ya hapo juu ), na ana sifa za ziada pia. Tatu, M, ni mcha Mungu sana huyu binti na ana upendo sana kwa watu hata asiowajua. Nne, she is so intelligent enough to challenge me frequently. Fifthy and last, uzuri wa muonekano wake ni zaidi ya D. She kills me in all angles. All in all, me & M, tunaishi vizuri sana, tuna malengo makubwa sana, na baadhi tushaanza kuyatekeleza.
My Problem
Kwa hali iliyopo sasa, D ni msichana ambaye kiukweli anahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuwa naye kwa malengo ya muda mrefu, anahitaji kupendwa sana, maana ni aina ya wale wasichana ambao kwa sasa wanazidi kutoweka hapa nchini. Lakini mimi nimependa kwingine na sitaki kumpotezea muda wake akiwa anategemea kuja kuishi na mimi hapo baadae.
Tangu nilipoingia uhusiano na M, nimekuwa nikisubiri sana D anikosee kosa lolote dogo, ili iwe nafasi ya kuachana naye, lakini wapi! hakuna anachonikosea. Unfortunately, huwa nakosa ule moyo wakumuacha ghafla bin vuu, maana najua madhara yatakuwa ni makubwa sana kwa upande wake, may be na mimi pia.
Nataka hili tatizo litatuke haraka sana, kabla M hajagundua, sitaki liende taratibu maana naweza kumkosa ninayempenda sana, maana muda unavyozidi kwenda ndio naona ukuta unaotenganisha haya mahusiano mawili unazidi kubomoka.
Nimuachaje D?
Asante kwa kuvumilia taaluma yangu dogo ya uandishi.