sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Habari Wapendwa.
Nahitaji jinsi ya kumwambia huyu binti ili aelewe lakini sijui nitamwambiaje?msaada tafadhali.
Yuko kwenye ndoa anatimiza mwaka wa tatu sasa.ila kabla alikuwa akiishi na huyo mume..mume anarudi home saa saba nane hadi kumi na moja..mdada akihoji anapigwa,au jamaa anavunja glass kama tano eti kakasirika hataki kuulizwa.
mara akambamba jamaa anahadithia wenzake jinsi alivyotoka na mwanamke mwingine ila alishindwa kwenda nae faragha mana wife angestukia,alivyomhoji mwanaume akasema ooh nilikuwa nafurahisha umati.
baada ya muda harusi ikafanyika,mara binti mjamzito..bado mwanaume anarudi usiku mkubwa akiulizwa ni kipigo,siku hiyo mimba ya miezi saba anapigwa mpaka ilibidi aende hospitali kesho yake..na jamaa hakuomba msamaha,anasema tutaongea siku nyingine.
amekuwa akipigwa wee..mpaka nashindwa jinsi ya kumshauri ..mara ya mwisho nikachoka kusikiliza the same story nikamwambia aondoke amwache huyo mume..jibu nililopewa lilinichosha "mdogo wangu ,ndoa kitu kingine.usisikie ya watu"..dah
sasa imefikia point hata akinihadithia nabaki kusema pole..Je nimsaidieje mtu wa hivi?
Nahitaji jinsi ya kumwambia huyu binti ili aelewe lakini sijui nitamwambiaje?msaada tafadhali.
Yuko kwenye ndoa anatimiza mwaka wa tatu sasa.ila kabla alikuwa akiishi na huyo mume..mume anarudi home saa saba nane hadi kumi na moja..mdada akihoji anapigwa,au jamaa anavunja glass kama tano eti kakasirika hataki kuulizwa.
mara akambamba jamaa anahadithia wenzake jinsi alivyotoka na mwanamke mwingine ila alishindwa kwenda nae faragha mana wife angestukia,alivyomhoji mwanaume akasema ooh nilikuwa nafurahisha umati.
baada ya muda harusi ikafanyika,mara binti mjamzito..bado mwanaume anarudi usiku mkubwa akiulizwa ni kipigo,siku hiyo mimba ya miezi saba anapigwa mpaka ilibidi aende hospitali kesho yake..na jamaa hakuomba msamaha,anasema tutaongea siku nyingine.
amekuwa akipigwa wee..mpaka nashindwa jinsi ya kumshauri ..mara ya mwisho nikachoka kusikiliza the same story nikamwambia aondoke amwache huyo mume..jibu nililopewa lilinichosha "mdogo wangu ,ndoa kitu kingine.usisikie ya watu"..dah
sasa imefikia point hata akinihadithia nabaki kusema pole..Je nimsaidieje mtu wa hivi?