Nimsaidie au Nimwache..

Ati chat za hapa na pale mpaka tukawa wapenzi kwani hukua na mpenzi mwanzo au umekua oppotunistic yani mtu nyemelezi ukisubiri penye upenyo ufa upenyeze rupia
 
kama unamsaidia kwa lengo zuri msaidie..but kama ni kwa lengo la kupata fadhila za ngono wakati unajua ni mpenzi wa rafiki yako sio vizuri kabisa.
 

mbona kwenye maelezo yako unasema mlichart mpaka mkawa wapenzi
 
Marafiki hawachukuliani wapenzi

Wewe ni rafiki mnafiki
 

Hujaweka wazi katika shule wewe unamsaidia kitu gani? Ukisema msaada wako itakua rahisi kukushauri.
 
Kumbe me kilaza kiasi hiki jamani manake sijaelewa chochote.

Mi nahisi wewe umeelewa aisee maana mi naona maharage,njegere,mchele,mahindi,mchicha,nyama ya kuku,samaki vyote kwenye sufuria moja.....bora nijisomee comment tu
 
so juzi ulianza chat nae na mpaka leo tayari mlishaanza mambo ya mapenzi ila bado hujamgegedana yeye anasema yupo dilema!?...ebu wacha uzembe hapo huyo kajiweka style ya ki frend with bnefits...kamata umgegede u dnt have to date her.......na hivi unamsaidia basi wakati mpo pamoja wee anza kumshika atalainika mwenyewe
 
!
!
kwanza tatua utata uliopo katika hizo sehemu nilizobold kwanza....hebu tulia kwanza, vuta pumzi vizuri halafu uhadithie vizuri nikuelewe




 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…