Je, nifanyajee na ninampenzi mwinginee ushauri wenu kwangu.
😳Je, nifanyajee na ninampenzi mwinginee ushauri wenu kwangu.
Ajabu kabisa. Hawa ndio wanakwenda School of Law, 90% wanafeli, halafu wanasingizia wakufunzi kuwafelisha, kumbe uwezo wao ndio mdogo. Elimu ya Tanzania kwa sasa imekuwa majanga. Unakutana na mhitimu wa Chuo Kikuu lakini uwezo wake wa kiakili hauna tofauti na aliyeamaliza Kidato cha Nne aliefeli.Kijana wa chuo, unaandika hovyo kuliko mimi wa darasa la 7C.
Hakuna kulamba matapishi mkuu chapa ilale😅Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.
Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda fild tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.
Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.
Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?
Ushauri wenu kwangu.
Nliwahi kusema law school ni div 3 waliofeli ,Raia wakabisha kinoma😅😅😅Ajabu kabisa. Hawa ndio wanakwenda School of Law, 90% wanafeli, halafu wanasingizia wakufunzi kuwafelisha, kumbe uwezo wao ndio mdogo. Elimu ya Tanzania kwa sasa imekuwa majanga. Unakutana na mhitimu wa Chuo Kikuu lakini uwezo wake wa kiakili hauna tofauti na aliyeamaliza Kidato cha Nne aliefeli.
[emoji1787]
Sasa unauliza nini dogo, mtu ana kukaushia wewe unataka jibu gani tena zaidi ya kuelewa kuwa umepigwa kibuti? Halafu unayo pic nyingine bado unalialia wewe vipi?Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.
Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.
Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.
Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?
Ushauri wenu kwangu.