nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,556
- 20,092
DOWANS itaibua vioja vingi! Mtuhumiwa wa kashfa hiyo Nimrod Mkono ameibuka kwenye kikao cha CCM na kudai ataisaidia serikali kupunguza au kufuta deni la DOWANS,..alikuwa wapi??..naye huyu si mtuhumiwa katika malipo haya??
Source: Gazeti la Mwananchi
Source: Gazeti la Mwananchi