Huu ni mwaka Wa uchaguzi,mbwembwe na tambo
Kwa wanasiasa walioko madarakani haziishi kama alivyowahi kusema nimrod mkono mbunge Wa musoma vijijini kwamba hana mpango Wa kuachia madaraka hajaona MTU Wa kumwachia na atakuwa king'ang'anizi kama Mugabe, Je mheshimiwa kwa barabara hizi una sifa za kuendelea kuwepo?
Kwa wanasiasa walioko madarakani haziishi kama alivyowahi kusema nimrod mkono mbunge Wa musoma vijijini kwamba hana mpango Wa kuachia madaraka hajaona MTU Wa kumwachia na atakuwa king'ang'anizi kama Mugabe, Je mheshimiwa kwa barabara hizi una sifa za kuendelea kuwepo?