PAPA NYAGOTHE
Member
- Jan 26, 2015
- 10
- 5
Umenena!
let be a doubting thomas ...kwa hili bado sijadhibitisha ni tiba bali ni virutubisho kama ilivyo ARV
Umenena!
Mkuu dawa hii ni mitishamba, yaani dawa za asili/kienyeji na zipo nyingi tu. Kwa hiyo dawa za kienyeji kugunduliwa Tanzania si ajabu. CC Samunge.una kumbukumbu yoyote kuhusiana na dawa yoyote inayotumika sasa kuwahi kugunduliwa Tanzania ?
chanzo habari leo!!!!spinning hiyo kututoa kwenye miswada kandamizi inayopelekwa kwa hati ya dharura...mambo ya samunge!!!!
Kama dawa yenyewe haijawa tayari kuna uharaka gani kipindihiki?.Hayo si ndio mambo ya Samunge tena?
vipi una shida hiyo Mkuu! ni inbox nikupe dawa ! kama bado ni kijana hiyo viagra itakusababishia ufungwe jela maisha MkuuWanatengeneza na Viagra ?
cc: Rich Woman, twende tukapone maukimwi yetu mpenzi...
Ila namshukuru Mungu ile tabia yako chafu ya zamani umeiacha maana mhhh, mekumis my husband wangu