NIMR: Asilimia 45 ya watoto wachanga wakutwa na Virusi vya homa ya ZIKA Tanzania, asema Mwale Malecela

Hicho kichwa cha habari ni potofu kabisa.

Ni asilimia 43.8 ya watoto 80 waliozaliwa na ulemavu sio asilimia 45 ya watoto wote!

Statistically speaking hapo kuna tofauti ya mbingu na ardhi
 
Mungu baba mwenyezi yaangalie haya na MAPENZI yako yatimizwe duniani. Maana ukweli = uongo vice versa
 
Wakati mwingine tutapinga hili kwa nguvu kubwa ili tu tusiathiri watalii ingawa itafiti uko sahihi.
 
Tanzania ina serikali ya kipekee.
NIMR,Taasisi ya serikali ya utafiti imefanya kazi yake na kuijuza nchi,kuwa virus vya ZIKA vipo.
Ghafla Naibu waziri,Dr.Kigwangala anatoka hadharani na kupinga ripoti ya NIMR!!!!Just one day bila hata ya site visit,!!!!
A failed system !!
kwani hiyo taasisi bosi wake ni nani
 
Huyu Raisi anaona ngumu sana kutoa pesa za kununua ndege kwa kununua madawa. Yeye kwake ni bora tufe tu
 
Kama ni kweli, wabongo tumeisha. Sasa hivi hospitali hamna dawa ndio ZIKA inaingia ! Kweli tuta-zika wengi. Na hali ilivyo ngumu hata hela za vidonge vya kutuliza maumivu hakuna. Na kama ZIKA ipo, watalii ndio bye bye! Uchumi utazidi kudorora. Tena ukame ndio huo, na pale ambapo hakuna ukame kuna mvua za ghafla zinazobomoa majengo. Tutaishije?
 
Mbona hata huko Marekani alipopatikama mgonjwa wa Zika dunia yote tulitangaziwa?? Nini kitu cha ajabu hapo? Acheni kufanya kila kitu siasa.
 
Utafiti wa zika umekuzika mwenyewe..
Pole kwa kupoteza kazi..jmn
Inasikitisha sana
 
,
Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu, NIMR imethibitisha kugunduliwa kwa virusi vya Zika nchini Tanzania.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Dkt Mwele Malecela,virusi hivyo vimepatikana mkoani Morogoro, Mashariki mwa Tanzania na Mkoani Geita, kaskazini magharibi mwa Tanzania.

Utafiti huo ulifanyika kutokana na uhalisia kuwa kuna mazingira yanayowezesha kuzaliana kwa mbu wanaoeneza virusi hivyo.

Dkt Mwele Malecela alizungumza na BBC na anafafanua kugundulika kwa virusi hivyo.


Chanzo: BBC
Tafiti
 
Para hii tu inaonesha hakuna utafiti wa ugonjwa:

"Utafiti huo ulifanyika kutokana na uhalisia kuwa kuna mazingira yanayowezeshakuzaliana kwambu wanaoeneza virusi hivyo."
 
Wewe unatuwekea picha za watoto wenye mtindio wa ubongo(matahira) unatuabia wameadhiriwa na ZIKA, na tena ugonjwa wa ZIKA umegunduliwa majuzi tu hata mwaka bado, mbona hao ni wakubwa wa zaidi ya miaka kumi?
 
Back
Top Bottom