nyie ndo mnaishia kubadilisha kila kukicha maana nywele zikinyolewa inakuwaje kama unampendea nywele? unaombwa elfu 50 ya salon unalalamika nini wakat ndizo ulizopendea?
me nilitamani niwe na natural hair, i admire african women with huuuge afros. Lakini kipilipili kinachotembea kwenye ukoo wetu, a man akiinsist that he wishes for natural hair, mawifi tutamchangia nakoz