Nimpate wapi mwanamke kama huyu hapa Bongo??

Me nlifikiri kabeba kikapu kwa mdomo...!!
 
nyie ndo mnaishia kubadilisha kila kukicha maana nywele zikinyolewa inakuwaje kama unampendea nywele? unaombwa elfu 50 ya salon unalalamika nini wakat ndizo ulizopendea?
 
me nilitamani niwe na natural hair, i admire african women with huuuge afros. Lakini kipilipili kinachotembea kwenye ukoo wetu, a man akiinsist that he wishes for natural hair, mawifi tutamchangia nakoz
 
Umpate wapi? ... Unauliza vumbi stoo... Nenda mitaa ya ambiance na africa sana...mbona wengi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…