Nimlipie au nikaushe

Nimlipie au nikaushe

Kula mzigo na huyo mama mkwe ili aache dharau kwa wanaume anapata wapi nguvu ya kumdharau mwanaume aisee, akupe mbususu Kwanza ndio ulipe hiyo pesa kama hataki kuliwa usilipe kitu wasikusumbue Kwanza wanawake wa kuoa ni wengi sana.
 
Shigha mvurundu!!! Kama unampenda binti na binti anakupenda msaidie kwa ajili ya bint sio kwa ajili ya mamaake pia ukimsaidia atajifunza kuwa usimdharau usie mjua Kama binti ana msimamo kwako fanya hisan ila usiwazie kulipwa jema kutoka kwa mama.

Wewe mwangalie mpenzi wako maana tabia Ni ngozi ila mama akiwa mtu mwerevu atajifunza kitu na atakuheshimu Sana
Kweli kabisa siku zote lipa uovu kwa wema. Isitoshe wakati mwingine mtu anakukataa kwa sababu hakujui vizuri akikujua ataanza kujilaumu sana hayo ndiyo malipo yake.
 
Humuoi mama yake msaidie tu huyo mama atajifunza ubaya sasa anaweza taka kukupa mpaka Utamu na yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom